Interlacustrine R
JF-Expert Member
- Jan 22, 2022
- 6,068
- 12,454
Dunia tambara bovu.Mai kantri pipo!
Ubinadamu ni kazi/Humanity is a work.
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Dunia tambara bovu.Mai kantri pipo!
ai keni siiMai kantri pipo!
Aisee
100%kwaiyo mkuu unahisi jamaa hafanyi kazi
Kwann usinitibu nikiwa bado sijaukojoa? Si upo mwilini mwangu? Kwann usizuie baya lisinipate nikiwa bado sijaukojoa..kwann mpaka niogee au kunywa tena!!nilijua tu kuna baadhi mtashitushwa hiyo dawa ila kwa mlio kaa vijijini haito kuwa ajabu mtu akiona vitu vya ajabu anavikojolea ili kuviua nguvu🤣🤣🤣
mkojo ni dawa...bado sija mwambia aunywe🤣🤣🤣
wapo watu wanakunywa mkojo kama dawa....!
achana na mambo ya kuhisi na kuamini yasiyo halisi...Wakuu,,
Nahisi kabisa toka moyoni kuna mtu kaniwekea kimavi.Yaan vitu vyangu vyote haviendi madili yote yanabuma…
Huwezi amini nikikusimulia aisee,,,,
Kila nachojaribu kinagoma safari hii…Nishapitia msoto lakini huu si msoto n kimavi kabisa.
Naombeni ushauri kama naweza nikatoa hali hii.
Kama huna msaada positive pita ivi! Mi mwenyewe ninna stress! Tusameheane
Jf wadau
Kwann usinitibu nikiwa bado sijaukojoa? Si upo mwilini mwangu? Kwann usizuie baya lisinipate nikiwa bado sijaukojoa..kwann mpaka niogee au kunywa tena!!
mungi, yupo mbinguni huko kwenye mawingu....🤣🤣Mungi ni nani na yupo wapi?
Shetani ni nani na yupo wapi?
NakaziaAcha na hayo mambo, weka malengo yako fanya tathmini ulifeli wapi, chunguza kwenye tatizo njoo na suluhu na mbinu mpya.
Njoo tuombe hayo yote yatakwisha.Wakuu,,
Nahisi kabisa toka moyoni kuna mtu kaniwekea kimavi.Yaan vitu vyangu vyote haviendi madili yote yanabuma…
Huwezi amini nikikusimulia aisee,,,,
Kila nachojaribu kinagoma safari hii…Nishapitia msoto lakini huu si msoto n kimavi kabisa.
Naombeni ushauri kama naweza nikatoa hali hii.
Kama huna msaada positive pita ivi! Mi mwenyewe ninna stress! Tusameheane
Jf wadau
Nyota haiibiwi, inachafuliwa tu.Na ukienda kusafisha nyota kwa mganga sijui nabii, anaikwiba nyota yako unaanza kuishi mjini kama debe...
Mkuu hii ni kweli au unamzingua jamaa?kuna dawa ukiifanya bila kuidharau ndani ya siku 7...hiyo hali itakutoka na inaanza kuleta matikeo kuanzi siku hiyo hiyo utakayo anza...
kesho panapo majaaliwa asubuhi ukienda kuoga hakikisha maji unayooga unayachanganya na mkojo wako wa asubuhi ule wa kwanza kabisa...maji yanayo hitajika ni ya room temperature ambayo hayajachemshwa mnaita yabaridi. hivyo kama upo kwenye mkoa wenye baridi kazi utakuwa nayo.
hakikisha ndoo inajaa ya rita kumi {sio uijaze mikojo mkojo ni uo kidogo utakao toka asubuhi ukiwa unakojoa utauchanganya kwenye ndoo yenye maji rita 10 Oga hadi maji yaishe...!
ila kama ukifanya mapenzi na mwanamke ule mkojo ambao umechanganyika na manii haufai.
mkojo unao takiwa ni ule ambao haujachanganyika na manii...!
fanya dawa hiyo kwa kuirudia kila ASUBUHI ndani ya siku 7. baada ya hapo ikikupendeza rudi utoe mrejesho.