Nahisi nimenyewa, Mambo yangu yote hayaendi

Wakuu,,
Nahisi kabisa toka moyoni kuna mtu kaniwekea kimavi.Yaan vitu vyangu vyote haviendi madili yote yanabuma…
.
Mkuu, hiyo tu kutambua kuwa kunankitu hakiko sawa ni hatua ya ushindi, maana yake unajijua mwenyewe jinsi mambo yako yalivyokuwa yakienda na unayapima namna yanavyoenda sasa.

Hapo baada ya kuhisi kuwa kuna tatizo, anza kuomba sasa Mungu ujue ni tatizo gani exactly, usikisie kisie. Ukiomba kwa kumaanisha, Mungu atakuonesha njia.

Hata hivyo, kikulacho ki nguoni mwako. Wabaya ni watu wako wa karibu sana.
 
Mkuu, hiyo tu kutambua kuwa kunankitu hakiko sawa ni hatua ya ushindi, maana yake unajijua mwenyewe jinsi mambo yako yalivyokuwa yakienda na unayapima namna yanavyoenda sasa.

Hapo baada ya kuhisi kuwa kuna tatizo, anza kuomba sasa Mungu ujue ni tatizo gani exactly, usikisie kisie. Ukiomba kwa kumaanisha, Mungu atakuonesha njia.

Hata hivyo, kikulacho ki nguoni mwako. Wabaya ni watu wako wa karibu sana.

Asante mkuu
 
Wakuu,

Nahisi kabisa toka moyoni kuna mtu kaniwekea kimavi.Yaan vitu vyangu vyote haviendi madili yote yanabuma…

Huwezi amini nikikusimulia aisee,

Kila nachojaribu kinagoma safari hii…Nishapitia msoto lakini huu si msoto n kimavi kabisa.

Naombeni ushauri kama naweza nikatoa hali hii.

Kama huna msaada positive pita ivi! Mi mwenyewe ninna stress! Tusameheane

Jf wadau
kuna hii midoli ya kupachika nguo, nasikia watu wa madukani wanaweka majini humo
ukiugusa tu mdoli nyota yako inaenda
 
kuna dawa ukiifanya bila kuidharau ndani ya siku 7...hiyo hali itakutoka na inaanza kuleta matikeo kuanzi siku hiyo hiyo utakayo anza...

kesho panapo majaaliwa asubuhi ukienda kuoga hakikisha maji unayooga unayachanganya na mkojo wako wa asubuhi ule wa kwanza kabisa...maji yanayo hitajika ni ya room temperature ambayo hayajachemshwa mnaita yabaridi. hivyo kama upo kwenye mkoa wenye baridi kazi utakuwa nayo.

hakikisha ndoo inajaa ya rita kumi {sio uijaze mikojo mkojo ni uo kidogo utakao toka asubuhi ukiwa unakojoa utauchanganya kwenye ndoo yenye maji rita 10 Oga hadi maji yaishe...!

ila kama ukifanya mapenzi na mwanamke ule mkojo ambao umechanganyika na manii haufai.

mkojo unao takiwa ni ule ambao haujachanganyika na manii...!

fanya dawa hiyo kwa kuirudia kila ASUBUHI ndani ya siku 7. baada ya hapo ikikupendeza rudi utoe mrejesho.​
Is this serious? Au ni kuogeshwa mikojo tu?
 
Kwann usinitibu nikiwa bado sijaukojoa? Si upo mwilini mwangu? Kwann usizuie baya lisinipate nikiwa bado sijaukojoa..kwann mpaka niogee au kunywa tena!!
Hapo jiulize kwann ukitoka haja kubwa unashauriwa unawe vzr na subuni wakati umetoka kukishika kilichopo mwilin mwako kwanini haunuki mkojo wakat upo ndan ya mwil wako
 
OKOKA MPOKEE YESU... INGIA CHUMBANI KWAKO FUNGA MLANGO OMBA TOBA KWA YESU ATAKUSAMEHE NA UISHI MAISHA YA KUMPENDEZA YEYE.

HAUTAONA TENA KUNYEWA MAMBO YAKO YATAKUWA SAFI.
Nipe mechanism gani inatumika unapokaa chumbani kuomba alafu huku nje mambo yawe safi, au ni through osmosis nini?
 
Tatizo lako linaanzia kwenye ulimwengu wa roho. Tafuta mchungaji mmoja mzuri mweleze tatizo lako utapata majibu ndani ya mwezi mmoja
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom