Tuo Tuo
JF-Expert Member
- Sep 3, 2013
- 504
- 874
Wakuu,
Nahisi kabisa toka moyoni kuna mtu kaniwekea kimavi.Yaan vitu vyangu vyote haviendi madili yote yanabuma…
Huwezi amini nikikusimulia aisee,
Kila nachojaribu kinagoma safari hii…Nishapitia msoto lakini huu si msoto n kimavi kabisa.
Naombeni ushauri kama naweza nikatoa hali hii.
Kama huna msaada positive pita ivi! Mi mwenyewe ninna stress! Tusameheane
Jf wadau
Nahisi kabisa toka moyoni kuna mtu kaniwekea kimavi.Yaan vitu vyangu vyote haviendi madili yote yanabuma…
Huwezi amini nikikusimulia aisee,
Kila nachojaribu kinagoma safari hii…Nishapitia msoto lakini huu si msoto n kimavi kabisa.
Naombeni ushauri kama naweza nikatoa hali hii.
Kama huna msaada positive pita ivi! Mi mwenyewe ninna stress! Tusameheane
Jf wadau