Habarini JF members, kifupi nikwamba nilivurugwa nikaamua kumfata mtaalam anisaidie. Mpenzi wangu alirudisha mapenz kwa kasi ya ajabu ila kumbe nilikua nimekosea njia kwasababu mwisho wa SIKU mwili wangu ulibadirika nikajawa HOFU YA AJABU, nguvu za kiume kupungua kwa kasi, ugomvi kila siku na mpenzi wangu, hamu ya kufanya mapenzi ikapungua kwa kasi kwa wanawake na kujawa sana na hamu ya kuwaingilia wanaume wenzangu au kama ni mwanamke basi nimuingilie kinyume na maumbile, kichwa kikavurugika akili ikawa kama imefungwa.
Nilihangaika huku na kule nikabaini kua nimesaidiwa na mtaalam katika namna ya kurogwa (kutupiwa jini) sasa nikakutana na sheikh mmoja siwez kumtaja akanisomea na kunipa dawa ya kupaka kiukweli nilipata nafuu sana ila nahisi bado maana kunawakati zile hali zinanijia japo so kwkasi kama mwnzo, hofu imepungua japo bado ipo kiasi.
Nachoshangaa bado ni kutokwa na jasho ambalo linatoa harufu kama ile ya mpenzi wangu ila nkiligusa nilinuse vizuri ile harufu siisikii lakini nikitulia upepo ukipita makwapani inatoka harufu ya mpenzi wangu.
Kingine ni kwamba bega langu la kushoto linakua linatembelewa na vitu ndani ya mwili sehem hiyo ya bega na nakua na hasira na butwaa visivo kawaida.
NISAIDIENI NATESEKA MIE