noel oga
JF-Expert Member
- Oct 20, 2015
- 263
- 204
Madaktari mnaopatikana hapa mnisaidie,mwaka huu nilipata mpenzi ambaye tupo naye kwenye mahusiano,lakini mpenzi wangu alikuwa na matatizo ya kifua anapohema hutoa milio au kama mtu anayepiga miruzii na ameenda hospitali mbalimbali tatizo hili.
Hawajalipatia ufumbuz,ninapoandika ujumbe huu huu huyu mpenzi wangu yupo masomoni kenya,baada ya yeye kuondoka kwenda masomoni nimeanza kupata maumivu ya kifua mfano wa moto kuwaka ,tafadhali naomba kujua anaweza kuw ameniambukiza lile tatizo lake na je nifanyeje kwa sasa?
Hawajalipatia ufumbuz,ninapoandika ujumbe huu huu huyu mpenzi wangu yupo masomoni kenya,baada ya yeye kuondoka kwenda masomoni nimeanza kupata maumivu ya kifua mfano wa moto kuwaka ,tafadhali naomba kujua anaweza kuw ameniambukiza lile tatizo lake na je nifanyeje kwa sasa?