Nimesema kwa sababu zilizokuwa juu ya uwezo wake hakuweza kufunga safari kwenda kumwona mtoto wake. Na siyo kwamba alikuwa hatoi mchango wa kifedha kwa mwanae. Alikuwa anatoa tena bila hata ya kushurutishwa na mahakama. Hakumkataa mtoto wake. Ni kwamba wao wawili tu uhusiano wao haukufanikiwa. Na mwisho wa siku kwa mama yoyote kumnyima baba watoto wake kuwaona wanae si vizuri. Humkomoi yeye zaidi ya kuwanyima watoto fursa ya kumjua baba yao. And each case should be looked at on a case by case basis. You can't apply a one size fits all approach in each and every situation. My situation was very tricky and complicated to say the least. That's why in the end I just to let her go because it wasn't going to work with the way things were.
Hapo sielewi hata sijui umeongea nini. Huyo mwanamke wangu alikuwa na kiranga? You mean she smashed my hommie Kiranga? What the...???
Na sina shaka hata kidogo kuwa walifanya. Kama nilivyosema, nilizaliwa saa mbili usiku lakini haikuwa jana usiku.
Brasil ulifanya jema kutaka kumpeleka mtoto akamuone baba yake ........................ila hapo bora na wewe ungechukua likizo, mkaenda na mama mka enjoy pahala kwanza siku mbili tatu kisha mnamsindikiza mtoto kwa baba yake mnarudi nyumbani kwa amani
lakini ndio yamepita .......ganga yajayo.
huyo mwanamke wako alikuwa na kiranga tu na huo ex wako na nadiriki kuhitimisha kuwa 'walifanya'!!!!
weeee weeeee usinilishe maneno mwenzio herufi nlotumia hapo ni ndogo nikimanisha ni 'kivumishi' (adjective) na si jina (noun)
so u r homie has nothing to do wit my post
Kumekucha!
Huyu Kiranga ndo wapa wapa au mwingine?
Hujalishwa maneno na ndio maana nikauliza/ nikaomba utoe ufafanuzi. Sasa hayo maneno ulolishwa yako wapi? Mbona uko defensive hivyo?
Huyu Kiranga ndo wapa wapa au mwingine?
weeee weeeee usinilishe maneno mwenzio herufi nlotumia hapo ni ndogo nikimanisha ni 'kivumishi' (adjective) na si jina (noun)
so u r homie has nothing to do wit my post
haya bana nimekuelewesha basi yaishe sasa........
Ni ngumu kuamini kwa macho na masikio ya nyama, ila kwa wale waaminio, wenye imani kali kiasi cha kuhamisha milima hayo yote yanawezekana.
Kuwa mwangalifu na uchaguzi na matumizi wa maneno yako. Kumbuka ku-qualify kauli au maneno yanayoweza kuleta kutokuelewana. Tuna mjumbe mwenzetu humu anaitwa Kiranga. Wewe kutumia au kutotumia herufi kubwa kwenye hilo neno haina maana yoyote kwani hata jina lako hapa umetumia herufi ndogo, "bht". Kwa hiyo usitake kuanzisha ligi ya kombe la mbuzi hapa maana kutakuwa na mshindi mmoja tu!!!!
...bro, hakuna tofauti kama alitembea nae au la. Huyo ni baba mtoto wake. Hakuna kizuizi cha kuwazuia kukumbushiana.
Maamuzi uliyafanya miaka miwili iliyopita, simamia maamuzi yako upate faraja akilini.
huyo mwanamke wako alikuwa na kiranga tu na huo ex wako na nadiriki kuhitimisha kuwa 'walifanya'!!!!
hiyo sentensi ukiisoma vizuri lazima itamaanisha si Kiranga wa Jf ila basi tu wakati mwingine watu mnataka kulumbuna kwenye vitu vidogo na visivyo na msingi........
tufanye yameisha basi
Hahahahaaa..no dear, your statement is open to interpretation. Read it again and see where I'm coming from. I'm not just trying to start a pointless argument here.
Hahahahaaa..no dear, your statement is open to interpretation. Read it again and see where I'm coming from. I'm not just trying to start a pointless argument here.