Ni hivi,mimi kijana wa kiume 30+ tatizo langu kubwa nikupenda ngono hadi najichukia maana naweza lala na wanawake zaidi ya watano kwa siku na bado nakuwa na uhitaji wa kungonoko tu,hii imepelekea kuwapa mmba wanawake zaidi ya watano na wote wako na watoto maana wengi wao kutoa mimba hawakutaka Kiufupi uraibu wa Ngono umefanya mpaka maisha yangu kuwa Magumu.
Kwangu suala la nguvu za kiume huwa nashangaa mtu akisema anashida ya nguvu za kiume najiuliza inakuwaje maana kwangu mimi kila mara uume inadinda mpaka muda huu naandika uume umedinda,nahisi niko na shida kichwa au niko na pepo la ngono maana naona sio kawaida,Msaada kwa ushauri na tiba kama ipo.
Note:mimi ni mtu niko bize sana lkn likija suala la kuwaza ngono hapo hapo nadele gate Kazi kwa wasaidizi wangu na kutafuta mabusu na uzuri na cheza kwa step na kingine nawachukia sana mademu wavivu kwenye shoo sijui kiufupi kuielezea hali yangu lkn kiufupi ni hivyo wakuu
Kwangu suala la nguvu za kiume huwa nashangaa mtu akisema anashida ya nguvu za kiume najiuliza inakuwaje maana kwangu mimi kila mara uume inadinda mpaka muda huu naandika uume umedinda,nahisi niko na shida kichwa au niko na pepo la ngono maana naona sio kawaida,Msaada kwa ushauri na tiba kama ipo.
Note:mimi ni mtu niko bize sana lkn likija suala la kuwaza ngono hapo hapo nadele gate Kazi kwa wasaidizi wangu na kutafuta mabusu na uzuri na cheza kwa step na kingine nawachukia sana mademu wavivu kwenye shoo sijui kiufupi kuielezea hali yangu lkn kiufupi ni hivyo wakuu