rushanju
JF-Expert Member
- Nov 3, 2011
- 3,130
- 4,620
Nimetembea na mke wa mtu na alikuwa mpenzi wangu tangu tulipokua wadogo. Tulitengana kwa sababu za kijiografia tu. tumekutana kwa sababu za kazi wakati yeye kaolewa nami nikiwa na mke tayari. Tulijikuta tunakumbushia enzi na kwabahati mbaya tumebambwa live na mr.(mme wa mpenzi wangu) tumewekwa kiti moto nami nikabebembeleza na jamaa aliniachia kimya kimya na akaondoka na mkewe. Sina uhakika na kilichoendelea kule kwao na mimi niliondoka kabisa mkoa huo lakini siamini kabisa kama jamaa anaweza kukaa kimya. Naishi kwa kuogopa kivuli changu nmaana jamaa anasafiri sana na hela anayo. Naogopa kwenda kumwomba jamaa msamaha vilevile sina feedack toka kwa huyo mama kujua ni nini kinaendelea...
Naomba msaada wa mawazo ili niishi vizuri
Naomba msaada wa mawazo ili niishi vizuri