Mbona haya mambo ni ya kawaida tu Rushanju (bakora?),we relax lakini wakati huo huo huyo jamaa mwekee ma spy(tumia hela kidogo) ujue anaongea nini na nani na anapanga nini? Huyo mdada pia ongea naye ujue njemba ili react vipi nyumbani,weza kuta jamaa zuzu tu na jogoo halipandi ndo mana mkewe anamegwa.Don't panic,ukipata chance we piga tena,the higher the risk the higher the mhemuko!
kama unahitaji tuition zaidi juu ya tactics za kufanya cheating nitafute.
Bishanga, siku hizi umepata usajili infidelity club? Njoo tupingulue urafiki aisee!
sasa kaka muoga iv afu unapenda wake za wa2 jaman.Bishanga,... mie sina tena uwezo wa kumtafuta huyo mama maana naogopa kuwa simu yake na yangu pia kuwa iko well monitored. Jamaa anauwezo mkubwa wa kutafiti. Siwezi kabisa kukutafuta unipe tuition maana hata wewe sikuamini unaweza kuwa unatumiwa. Kwa hilo simwamini yyte mkuu
nadhani ushauri huu is the best one...very gud lizyIli uishi vizuri usingeoa wala usingetembea na mke wa mtu.
Kila la kheri maana siku hizi watu wanauwawa kweli kwa mambo kama hayo. Yakikukuta nakupa pole in advance.
mhhhhhhhhhhhhhhh