FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,792
- 5,375
tafuta kiburudisho kwanza,akili ndo itakaasawa
ha kumbe dawa ya moto ni fire?
tafuta kiburudisho kwanza,akili ndo itakaasawa
<br />Pole sana. Ila inawezekana kabisa, yeye kwa sasa hivi amefurahi kwamba umepunguzia usumbufu, maana ukipendwa halfu moyo wako haupo hapo, ni kero tupu. Ukiendelea kumfatilia, anaweza kukuonea "huruma", lakini sio kwamba amekupenda. ILA kumbuka kumshirikisha Mungu katika utafutaji wako. All the best.
<br />
<br />
unanidai 'like' moja.
maisha yapo kawaida, ndo kwanza nayaanza.hali yako ya kiuchumi ikoje? Unazo za kutosha mfukoni? Si unajua pesa sabuni ya roho?
lakini sidhani kama bila ubish japo kidogo kuna kufanikiwa, ila nimewaelewa, naamin kuanza upya c ujinga, nazidi kumuomba Mungu, pengne nipate wa kuendana naye.Pole sana. Ila inawezekana kabisa, yeye kwa sasa hivi amefurahi kwamba umepunguzia usumbufu, maana ukipendwa halfu moyo wako haupo hapo, ni kero tupu. Ukiendelea kumfatilia, anaweza kukuonea "huruma", lakini sio kwamba amekupenda. ILA kumbuka kumshirikisha Mungu katika utafutaji wako. All the best.
Ujowile nkamu, ndaga fijoHuyo usihangaike naye sana mwishowe atakupatia ugonjwa wa mwoyo.Fanya hima mapema utafute mapema mwingine coz ukomwendekeza utachukia kila mwanamke unayemwona mbele yako.
HIvi unahofu ukimkosa utaulizwa kwa nini? Au umeambiwa kabeba maisha na mafanikio yako? Ya nini umkamie kama vile uliagizwa na Mungu kuwa nenda duniani ukawe na binti fulani maishani, ujue kwa kufanya hivyo unampa kichwa na ni ishara ya kusema njoo uendeleee kunipa pressure. Ya nini uteseke bana, acha tu kwani angekua anakupenda angekua mwelewa so hushangai no call, no beep, no sms bado tu una moyo, uamuzi wako ni sahihi, jikaze jembe.
Huyo member asemaye mpende akupendae ni mimi mwenyewe na TANMO kamaanisha kwamba umpende tu yule akupendaye lakin na yule asokupenda pia usimchukie kwan tu safari moja.
<br />Asante Hus. Nilitaka kushangaa kwanini hujanigai hiyo "like", kumbe uko kwa mobile. Ubarikiwe.
tafuta kiburudisho kwanza,akili ndo itakaasawa
Hebu angalia ni wapi umechemsha kabla ya kufanya lolote
Habari zenu wadau! Nimefanya maamuzi magumu ambayo nilidhani yatanisaidia, lakini yanaishia kuniumiza. Ni kuhusu binti ambaye nimemfatilia kwa muda mrefu, nilijitahidi kwa kila hali kumuonesha kwa vitendo kwamba nampenda. Nilijitahidi kuwa karibu naye hasa kwa upande wa mawasiliano ya simu, muitikio wake ulikuwa mzuri japo alisema mapenzi na mimi no. Niliukubali urafiki japo kwa shingo upande, niliendelea kuwasiliana naye, lakin ilikuwa mpaka mimi nimtafute, nikikaa kimya naye anapotea, nikirudi anarudi. Kama mnavyojua kuwa kamba ikivutwa sana hukatika pabovu, ilifika muda nikachoka na nikaamua kukaa kimya. Sasa ni wiki ya 3 toka nimchunie, naye yuko kimya. Wadau hali hii inanitatiza, nataka nimpotezee mazima lakini naona naelekea kushindwa, moyo unaniuma kumuacha aende. Naomba ushauri wenu.