Nahisi nampenda mtu ambae hayupo!

Nahisi nampenda mtu ambae hayupo!

mbona tulishakutana tena tanga...nilikuwa kimya nione kama utanikumbuka
ahahaaa kidogo ungemfanania ...ila dah acha tu ...dunia haipo fair!
 
He he he, umenikumbusha mbali. Mie alinitumia barùa ila sikumjibu. He was smoking hot!
 
he he he, umenikumbusha mbali. Mie alinitumia barùa ila sikumjibu. He was smoking hot!
ahahaaa halafu wewe bora umerudi ...umetutia matumbo joto wangu!
Uwe unaaga !
 
aisee hii ni mitambo ya nyuklia mdingi atarest in peace kabla ya muda! Khaaa hapana tuachane nao

Bwana eh, leta hiyo makitu. Ukubwa wa pua si wingi wa kamasi. Chapchap sana
 
hivi kumbe ni wewe. Yaani nilikutafuta kweli kwenye ile namba ya sister. Nafurahi kama bado unanikumbuka..ndio mimi hapa.🙂
ahahaaa wacha hizo sio wewe!
 
ahahaaa kidogo ungemfanania ...ila dah acha tu ...dunia haipo fair!

Ila besti pole sana...najaribu ku-imagine mtoto wa kike namna moyo wako unavyopwita...

Maybe he was your Romeo...
 
Kama ndoto vile, lakini hayo mambo hutokea. Jaribu kadri unavyoweza ili umsahau maana ni long time huenda alishaanza maisha yake. Na hii ya wewe kumuwaza huyu ndg inaonesha hujapata ama kupatwa na mnaeendana naye, maana ingekuwa rahisi kwa wewe kusahau yaliyopita, kama itakuwa hivyo pole lakini usikate tamaa Mungu yu pamoja nawe daima, zidisha maombi dada Smile
 
Last edited by a moderator:
Kama ndoto vile, lakini hayo mambo hutokea. Jaribu kadri unavyoweza ili umsahau maana ni long time huenda alishaanza maisha yake. Na hii ya wewe kumuwaza huyu ndg inaonesha hujapata ama kupatwa na mnaeendana naye, maana ingekuwa rahisi kwa wewe kusahau yaliyopita, kama itakuwa hivyo pole lakini usikate tamaa Mungu yu pamoja nawe daima, zidisha maombi dada Smile
amen kaka! ubarikiwe sana
 
Back
Top Bottom