Smile
JF-Expert Member
- Jul 18, 2011
- 15,347
- 11,628
Ilikuwa siku kama ya leo nilikuwa natokea Kampala,sasa kuna mkaka mmoja alikuwa anakuja Dar ila basi likawa limejaa full..akaomba hata asimame alikuwa na dharura basi kwenye basi wakawa wamemkubalia.
Basi yule mkaka akaja akasimama karibu na mimi,tumeeenda wee nikaamua kumpisha nisimame apumzike kidogo.Basi tukafanya hivo hadi nilipofika Moshi kesho yake mida ya saa tano hivi nikashuka nikamuachia siti!
Mimi sikuwa na simu kipindi hicho ila yeye alikuwa nayo ila nikampa no ya sister! sikuchukua no yake!
Kuna siku sister aliniambia kuna mtu anamsumbua sijui anaitwa Chada anakutafuta nikamwambia anipe no akasema ameidelete !
Ni miaka kumi imepita i wish ningekutana na yule kaka! still image yake ipo kichwani mwangu,maybe angekuwepo nisingekuwa hivi!
SIJUI HUWA ANANIKUMBUKA?
Basi yule mkaka akaja akasimama karibu na mimi,tumeeenda wee nikaamua kumpisha nisimame apumzike kidogo.Basi tukafanya hivo hadi nilipofika Moshi kesho yake mida ya saa tano hivi nikashuka nikamuachia siti!
Mimi sikuwa na simu kipindi hicho ila yeye alikuwa nayo ila nikampa no ya sister! sikuchukua no yake!
Kuna siku sister aliniambia kuna mtu anamsumbua sijui anaitwa Chada anakutafuta nikamwambia anipe no akasema ameidelete !
Ni miaka kumi imepita i wish ningekutana na yule kaka! still image yake ipo kichwani mwangu,maybe angekuwepo nisingekuwa hivi!
SIJUI HUWA ANANIKUMBUKA?