Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 23,144
- 26,648
.........ha ha haaaaKwani mtoa
Mada jinsia gani?
.........ha ha haaaaKwani mtoa
Mada jinsia gani?
dah huyu x atanifanya nicheat wakat mm ctak...mpnz wang yupo mbeya huu mwez wa3,na kuonana majariwa mana tulikua chuo k1 ye ndo amemaliza ths year...
huyu x yupo wote dsm na tunasoma wote chuo yy hajamaliza...tatzo ameshajua npo lonly bac mwee hzo calz x3 ka dozi ...sms ucseme c watsup c email,c bbm wala miibo ...na kama unavyojua mpnz kwa sasa anastruggle kutafuta maisha kwan ndo amemaliza chuo na hana ishu xo mda wote yupo kuangaika kutafuta xo calZ zimepungua na sms za uhaba na hv yupo mbal mweee...yan nahc kuteleza mwenzen
uwiiiiiii
baba huyo wa mbeya mpe bye bye tuu... hapa tuna deal na locationships so kamatia iliye kuwa karibu nawe
pancreaseeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee umeua!hahahaahhahahahah
Usisahau kusoma kwa bidii na ukimwi upo mkuu!
Fikiria kama nayeye amekutana na x wake huko mbeya naye anawaza kama wewe.
.........ha ha haaaa
dah huyu x atanifanya nicheat wakat mm ctak...mpnz wang yupo mbeya huu mwez wa3,na kuonana majariwa mana tulikua chuo k1 ye ndo amemaliza ths year...
huyu x yupo wote dsm na tunasoma wote chuo yy hajamaliza...tatzo ameshajua npo lonly bac mwee hzo calz x3 ka dozi ...sms ucseme c watsup c email,c bbm wala miibo ...na kama unavyojua mpnz kwa sasa anastruggle kutafuta maisha kwan ndo amemaliza chuo na hana ishu xo mda wote yupo kuangaika kutafuta xo calZ zimepungua na sms za uhaba na hv yupo mbal mweee...yan nahc kuteleza mwenzen
uwiiiiiii