Nahisi nakaribia kucheat na x wangu.....!

Nahisi nakaribia kucheat na x wangu.....!

baba huyo wa mbeya mpe bye bye tuu... hapa tuna deal na locationships so kamatia iliye kuwa karibu nawe

hahaha kweli out of site is out of mind kama ni hivyo tungekua 2naoana na majirani ze2 kupitia locationshp
 
Sasa sikiliza dogo! Inaelekea wewe huyo x wako alikuwa mjumvi wa mambo hivo ukiyakumbuka ndo unadata!!!! Cha msingi wewe jikumbushe yale mabaya aliyokutendea mpaka mkaachana, ukiona haisaidiii we chapa ilale tu! Ila uwe mwangalifu hashindwi kujitegesha MIMBA ikanasa ukaja jf na stori upo njia panda!!!!! Sikio la kufa halisikii dawa

na kweli ndugu yangu umwambie, anaweza akampa mimba na bado akamkataa. usikute hata anamfanyia makusudi kwasababu mvulana wake hayupo..
 
hahaha kweli out of site is out of mind kama ni hivyo tungekua 2naoana na majirani ze2 kupitia locationshp

oh wewe locationship sio ndio ugeuze mke au mume...utabugi men!!! locationship ni kwa wale ambao wapo wapo ila utamu wanautaka. pia inashauriwa ata ukiwa katika ndo wanandoa wasikae mbali mbali maana distance acts against the sole purpose of a marriage, intimacy
 
naye akifanya au kufukiria kufanya unayotegemea kufanya wewe ngependa? ebu soma aisee, kuwa na moyo wa SUBIRA, na uache mawasiliano na huyo x wako km unahisi huna msimamo na ujasiri wa kushinda shawishi hilo.....km kweli unampenda huyo mpenzi wako, KAA MBALI SANA na huyo x wako...ukiendelea naye na km huko mpenzi wako ametulia kwa ajili yako,na wewe ukaishia kumcheat, basi jiandae na kupigwa kofi na Mungu wako..utaona mafanikio yake....jifanye mjanja tu kumbuka hata km ukimcheat mpenzi wako, yeye hatakuona na hana uwezo huo, ila Mungu wako atakuona na kukushughulikia...BE WARNED!!!!!(this advice is applicable only if you are truly in love with ur partner)
dah huyu x atanifanya nicheat wakat mm ctak...mpnz wang yupo mbeya huu mwez wa3,na kuonana majariwa mana tulikua chuo k1 ye ndo amemaliza ths year...
huyu x yupo wote dsm na tunasoma wote chuo yy hajamaliza...tatzo ameshajua npo lonly bac mwee hzo calz x3 ka dozi ...sms ucseme c watsup c email,c bbm wala miibo ...na kama unavyojua mpnz kwa sasa anastruggle kutafuta maisha kwan ndo amemaliza chuo na hana ishu xo mda wote yupo kuangaika kutafuta xo calZ zimepungua na sms za uhaba na hv yupo mbal mweee...yan nahc kuteleza mwenzen
uwiiiiiii
 
sure @mzabzab kwakuwa ameshaonyesha kutokuwa muaminifu basi aitumie formula ya LOCATIONSHIP maana kwake RELATIONSHIP ishakuwa ngumu tena
 
dah huyu x atanifanya nicheat wakat mm ctak...mpnz wang yupo mbeya huu mwez wa3,na kuonana majariwa mana tulikua chuo k1 ye ndo amemaliza ths year...
huyu x yupo wote dsm na tunasoma wote chuo yy hajamaliza...tatzo ameshajua npo lonly bac mwee hzo calz x3 ka dozi ...sms ucseme c watsup c email,c bbm wala miibo ...na kama unavyojua mpnz kwa sasa anastruggle kutafuta maisha kwan ndo amemaliza chuo na hana ishu xo mda wote yupo kuangaika kutafuta xo calZ zimepungua na sms za uhaba na hv yupo mbal mweee...yan nahc kuteleza mwenzen
uwiiiiiii

Na mkeo niko naye huku mbeya kwahiyo kata kidevu kaka.
 
Huna lolote uzinzi umekutawala ndani ya damu, huna hata haya lohh! Asara yako usojua cheo chako.....
 
Back
Top Bottom