Huyu jirani yangu nina wasiwasi naye sana.........
Kila siku asubuhi nakuta matembele ya mama Ngina bustanini yamechumwa ........ Nimefuatilia nyayo naona zinaelekea kwake.....
Jamani tutaonana wabaya...........................!
Huyo atakuwa ni aspirin tu.Huyu jirani yangu nina wasiwasi naye sana.........
Kila siku asubuhi nakuta matembele ya mama Ngina bustanini yamechumwa ........ Nimefuatilia nyayo naona zinaelekea kwake.....
Jamani tutaonana wabaya...........................!
mama ngina si mkeo?
Tembele lake linaliwa na jirani?
Hehehee mpige busha atakoma tu
Dingi, unahofia matembele tu? Nikuambie anakuibia nini tena?
Hutamuona hapa tena........ Nimemwambia akalale, usiku umeingia..................LOL
Usimfanyie hivyo please hebukamuamushe ili aendelee kufaidi Jf.
The unseen is illustrated by the seen.