miss chaga nilidhan hua unafanya reasoning,,,megundua ya not!,,,
watu wanawafumania wake zao wanawasamehe sembuse mpenz?,,,
by the way hata uamuzi wa kumsamehe na conversation zile ulitokana na sabab nyng ikiwemo i was sure it was the initial stages,,,mm pia nilikua muumin wa kuacha tena bila hata kufanya reasoning na wala kupgizana kelele bt i found out ni utoto,,,na ndo maana utu uzima dawa,,,