Nahisi naibiwa-mrejesho

yani wewe demu kakuona zoba zoba hapo ni mmoja kuna wengine pia... ila kkwa kuwa unaroho ya huruma hongera na pole kwa uchovu wa safari... mkuu siku nyingine andika basi maneno yvizuri kuliko kutumia vifupi jamani loh!!1
miss chaga nilidhan hua unafanya reasoning,,,megundua ya not!,,,
watu wanawafumania wake zao wanawasamehe sembuse mpenz?,,,
by the way hata uamuzi wa kumsamehe na conversation zile ulitokana na sabab nyng ikiwemo i was sure it was the initial stages,,,mm pia nilikua muumin wa kuacha tena bila hata kufanya reasoning na wala kupgizana kelele bt i found out ni utoto,,,na ndo maana utu uzima dawa,,,
 

Hakuna anYepingana na ww kuhusu kusamehe sababu uamuzi ni wako 2 una haki 3 I blv in 2nd chances
Ila tatizo umekua bwe-ge mtozeni aisee
huyo Mr lekuture ts obvious anagegeda kama yake we we unaambiwa anamtaka na unakubali
We jamaa sijui Wa aina gani
Kama hnaamua kumsamehe msamehe with the clear picture kwamba jamaa anagegeda sio anamtaka
 
ok let say kaliwa!,,ndo atakua wa kwanza?,,,by the way sijamkuta bikra!,,means alikua ameshaliwa,,,to me r'ship goes beyond kuliwa na kulwa,,,busara ni sehem muhimu sana kwenye mahusiano,,,m am proud nilipata busara za kufikia uamuzi wa kumsamehe,,,
usikute na ww unakomaa kaliwa coz hua unafanya hiv na unajua kabsa apo ni manyoya tehe tehe,,,
mi nampenda mpenz wang na kama n kumuacha t has to be somnthn realy serius,,
 
Ulichokifanya ni sahihi. Nadhani hatarudia na pia jitahidi kuwa naye karibu umbali wenu yaweza kuwa sababu ya maharamia kuingia. Be serious to rescue your marriage. Thank u been strong
thnx much mkuu,,,nitazingatia
 

mkuu japokuwa Kuchapiwa ni siri ya ndani but ni vizuri kujua jamaa alishamgegeda au ilikuwa bado? mrejesho unatakiwa ueleze hili pia.
 
sor its lecturer
 

We jamaa hatujasema umefanya maamuz kwa kukurupuka wala hatujasema sio busara tunachosema umemsamehe kwa kosa ambalo hajafanya ts obvious kagegedwa ulitakiwa kumsamehe kwa kugegedwa baba
Face the reality
 
mkuu japokuwa Kuchapiwa ni siri ya ndani but ni vizuri kujua jamaa alishamgegeda au ilikuwa bado? mrejesho unatakiwa ueleze hili pia.
kwa mujibu wa conversation ndo kwanza wameanza and km ingekua kugegedana ni baada ya binti kumaliza mitian ths friday,,na msing wa kumsamehe uko hapo,,
 
yani wewe demu kakuona zoba zoba hapo ni mmoja kuna wengine pia... ila kkwa kuwa unaroho ya huruma hongera na pole kwa uchovu wa safari...

mkuu siku nyingine andika basi maneno yvizuri kuliko kutumia vifupi jamani loh!!1

Labda atakuelewa wewe kwa kuwa ni mwanamke.

Huyu jamaa anahitaji maombi, tena ya Yohana Mbatizaji.
 
We jamaa hatujasema umefanya maamuz kwa kukurupuka wala hatujasema sio busara tunachosema umemsamehe kwa kosa ambalo hajafanya ts obvious kagegedwa ulitakiwa kumsamehe kwa kugegedwa baba Face the reality
let say kagegedwa wat does it matter kwamba jamaa kaondoka na kiungo?,,,ningeweza kusema kwann nna 100 percent hajagegedwa bt cwez kusema kwann,,,km wewe unaamin kagegedwa kherii,,,ukiamin kinyume pia kwangu sawa tu,,,wat i care z niko poa now
 
kwa mujibu wa conversation ndo kwanza wameanza and km ingekua kugegedana ni baada ya binti kumaliza mitian ths friday,,na msing wa kumsamehe uko hapo,,

Kama no kweli wamefikia stage mpaka ya kupeana appointment za lodge aka kibra "mazafanta" INA kichaa ww
 

Thats so nice of you. Kama hayo ndo hayo, nini kimekufanya ulete kilio chako hapa, na unaposhauriwa unakomaa Mr. Nice Guy?
 
Aisee!! Yaan mpaka sasa wamekaa wanakicheka kwa jinsi ulivyo -----.......... Wakat mwingne wanaume tunaingiliwa sana... Kwahyo na ww ukajiona boonge la kidumee teh teh teh! Ukawa unakunja hata sura kumpiga bit jamaa huku mwenzio anakucheka
 
kwa mujibu wa conversation ndo kwanza wameanza and km ingekua kugegedana ni baada ya binti kumaliza mitian ths friday,,na msing wa kumsamehe uko hapo,,

mweee mweeeee...
baada ya mitihani? huyo lecturer ana uvumilivu Wa ajabu sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…