Nahisi mkuu wa shule ananichukulia mke wangu

Nahisi mkuu wa shule ananichukulia mke wangu

chatts55

JF-Expert Member
Joined
Oct 11, 2012
Posts
600
Reaction score
97
Habarini wana jamvi,

narudi kwenu kuomba ushauri,mimi ni mwalimu wa shule x iliyopo katika mkoa x.Ni hivi karibuni nimekuwa na mahusiano mazuri sana na mkuu wa shule yangu,kitu ambacho kilikuwa ni nadra kuwahi kutokea,kwani amekuwa akinipa safari za mara kwa mara kutoka nje ya kituo na malupulupu mengine kibao wakati staff members wenzangu wakisota na kulalama.

Kinachontisha zaidi ni huyu mkuu kuanzisha tabia ya kuwa ananitembelea nyumbani na mara nyingine akijua fika kabisa kwamba mimi sipo nyumbani.

Sasa hii nahisi ni hali ya hatari na mimi ni mnyalu kutafuta kamba wala sioni kazi.

Naombeni ushauri wenu jaman, nifanyeje?
 
Habarini wana jamvi,narudi kwenu kuomba ushauri,mimi ni mwalimu wa shule x iliyopo katika mkoa x.Ni hivi karibuni nimekuwa na mahusiano mazuri sana na mkuu wa shule yangu,kitu ambacho kilikuwa ni nadra kuwahi kutokea,kwani amekuwa akinipa safari za mara kwa mara kutoka nje ya kituo na malupulupu mengine kibao wakati staff members wenzangu wakisota na kulalama.Kinachontisha zaidi ni huyu mkuu kuanzisha tabia ya kuwa ananitembelea nyumbani na mara nyingine akijua fika kabisa kwamba mimi sipo nyumbani.Sasa hii nahisi ni hali ya hatari na mimi ni mnyalu kutafuta kamba wala sioni kaziNaombeni ushauri wenu jamani nifanyeje,,.
..................loading...................
 
Ongea na mkeo kwanza ndo wa kumsikiliza anasema nin! Usiwe na haraka ya kamba utaingiza hasara watoto wako we vip?....
 
Umtafute mke wa mkuu wako naye umgegede.
 
Hili suala ni zito sana mkuu,inabidi utulie sana ili ufanye maamuzi sahihi.
 
Ukijinyonga uache ujumbe ndugu zako hatutaki matatizo.
 
anza kukaa mbali na mkeo ukiona anachukuliwa anza kutafuta sehemu ya kwenda kwani ukiua utafungwa ukijiua utawakosesha watoto wako malezi bora uanze kwa kwenda mbele ikithibitika kuwa anachukuliwa huwezi kumzuia
 
jitundike mkuu kama hilo ni solution zuri , usioe mtu usie muamini .daima mwamini mkeo na uwe tayari kumuacha wakati huo huo na mueleze msimamo wako na amini kwamba vyote vinawezekana
 
nikiheshim hisia zangu nadhani nitaharibu zaidi
 
Habarini wana jamvi,narudi kwenu kuomba ushauri,mimi ni mwalimu wa shule x iliyopo katika mkoa x.Ni hivi karibuni nimekuwa na mahusiano mazuri sana na mkuu wa shule yangu,kitu ambacho kilikuwa ni nadra kuwahi kutokea,kwani amekuwa akinipa safari za mara kwa mara kutoka nje ya kituo na malupulupu mengine kibao wakati staff members wenzangu wakisota na kulalama.Kinachontisha zaidi ni huyu mkuu kuanzisha tabia ya kuwa ananitembelea nyumbani na mara nyingine akijua fika kabisa kwamba mimi sipo nyumbani.Sasa hii nahisi ni hali ya hatari na mimi ni mnyalu kutafuta kamba wala sioni kaziNaombeni ushauri wenu jamani nifanyeje,,.

Unaonaje ukianzisha tabia ya kusafiri na mkeo?
 
Kama vp umvizie siku moja ukiwakuta tu, mkamate uyo mkuu mgege anapo stahili na mkeo atakuheshm ataogopa alafu atajengwa heshma kwa una gegeda hata wanaume bhas hatari
 
niende nae wapi sasa! wakati mwingine nipo class jamaa anaenda nyumbani kwangu.sasa mwisho si nitakaa nae darasani!!
 
Back
Top Bottom