Kichwa Ndio Mtu
JF-Expert Member
- Jan 17, 2014
- 3,079
- 1,719
Uchawi upo sana...tena kuna hata research zime document hayo mambo...hata kwenye vitabu vya Mungu yapo...
Upo sana tu. Mimi nimemwambia Nyani atafte mtu atakaekuja kuleta ushuhuda humu kua amerogwa maana nikimroga hataweza kuja kuleta ushuhuda humu.