Nahisi mdogo wangu amerogwa

Nahisi mdogo wangu amerogwa

wewe acha kuzinguwa watu pimbi wewe, binti wa miaka 29 kwa nini unamwita bibi?

ha!! ha!! ha!! ha!! ha!!
mkuu mbona umepanic sana kwani una miaka mingapi....!!!!😛ound:
 
kama Bibi alikua anamiliki Bar yake akaiuza kuna tatizo gani hapo .Tafuta sababu ya msingi ya kutueleza hapa jukwaani
huyo bibi anamsaidia dogo asije akabaka huko mtaani.na hilo ni suala la muda tu dogo atagundua anachofanya sio kama kweli ni bibi yuko nae mtafutie dogo demu mwingine mkali hiyo hali itaisha
 
kama Bibi alikua anamiliki Bar yake akaiuza kuna tatizo gani hapo .Tafuta sababu ya msingi ya kutueleza hapa jukwaani
huyo bibi anamsaidia dogo asije akabaka huko mtaani.na hilo ni suala la muda tu dogo atagundua anachofanya sio kama kweli ni bibi yuko nae mtafutie dogo demu mwingine mkali hiyo hali itaisha

nashukuru mkuu!!!!!!!!!
 
kama Bibi alikua anamiliki Bar yake akaiuza kuna tatizo gani hapo .Tafuta sababu ya msingi ya kutueleza hapa jukwaani
huyo bibi anamsaidia dogo asije akabaka huko mtaani.na hilo ni suala la muda tu dogo atagundua anachofanya sio kama kweli ni bibi yuko nae mtafutie dogo demu mwingine mkali hiyo hali itaisha

hata kama alikuwa anafanya kazi bar hyo biashara haimhusu, wamependana wenyewe wewe ndugu tu unataka kuleta masharti kama mganga wa kienyej!
 
Uchawi au niseme nguvu zinazodaiwa ni za kichawi hazipo. Kama zipo niroge. Kama wewe huwezi tafuta mtu wa kuniroga aniroge. Au kama kuna yeyote mwingine atakayesoma bandiko hili na kutaka kunithibitishia kuwa kweli hizo nguvu zipo, basi na aniroge.

Mwenzako gfsonwin alichemsha licha ya kumpa green light ya kuniroga mara kibao.
doesn't mean i failed dude!!!
its beyond my religious faith
 
wonders shall never end haya 29 yrs lady tayari ni bibi, af kijana anayetoka naye ni approximately 20yrs............
mie ninachokiona hapa ni kwamba huyu mdogo wako anapenda ngono katika umri mdogo so hamna sababu ya kuanza kulalamika maisha yake chaguo lake 2014.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom