[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] umenifanya nicheke kwa sauti maana hapo umejiona mwenyewe unajua maandiko kabisa? Hahahahahahaha unajua sababu ya Sauli kulaaniwa na kiti chake kuchukuliwa na Daud? Unajua historia ya Sauli kua alikua anapandisha majini hadi apigiwe kinubi ndio majini yanatulia? Huyo mzuka akiyeenda kumuinua unajua alimuinulia kwa nani? Je ni kwa nabii, mtume au mganga? Jibu utakua nalo kua mtu akifa amelala usingizi mzito hajui lolote
Soma sana maandiko mkuu acha kujipumbaza na vimstari vifupi bila kuijua historia nzima. And by the way hii ndio maana hata maandiko yanasema "watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa"
Unaenda kwa mchungaji anakupa kimstari kimoja cha kujifariji kumbe behind historia nzima kakuficha na sababu wewe ni mvivu wa kusoma maandiko unamuona mchungaji wako kama malaika [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]