Nahisi mapenzi yamenipotezea dira ya maisha

Nahisi mapenzi yamenipotezea dira ya maisha

Pole kwa yalokukuta. Ila ni funzo kwa wengine. Endelea kupambana.
 
Mnyaturu graduate?.[emoji15] [emoji15] [emoji15]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umenifanya nicheke.... pia kuna mmbulu graduate anafanya CRDB Arusha[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Duh! Sijawahi kula binti wa kizanziberi wala huwa siwataki Kabisa! Wana gundu lakini pia kama Huna mpango na mtoto wa mwenzio usimdanganye wala kumpotezea muda, siku hizi DUA LA KUKU LINAMPATA MWEWE
 
Pole sana mkuu, don't lose hope. Two things:
  • Yes ni vizuri kuishi na watu vyema ila achana na kuhusisha imani kwenye matukio ya maisha, especially when it comes to life struggles.Hebu fikiria kuna watu wangapi wame watenda wanawake even worse (kuwazalisha, kuwakatisha masomo na kuwatelekeza )lakini bado wanapeta? Don't take the easy way out! The reality is, it is simpler to blame your situation on her words rather than facing the truth ie may be you lack something or are a simply a failure.
  • Pia despite the progress you see in your friends kumbuka hali ya ajira nchini si nzuri. There are probably million others (i totally made up the number) in a similar situation. i.e graduates with no jobs and zero income. So hang in there inshallah mungu atakujalia in due time
Word
 
Kaka huyo Mzanzibari hahusiki kwa namna yoyte na maisha yako. Pambana mkuu.
Mimi laana za aina hiyo nishazipata kwa wanawake zaidi ya watano. Kuna niliyemzalisha, na mwingine nlipiga mimba afu nkalazmisha atoe. Na nlifikia hadi kuongea na wazee wake.. Na maisha yangu yanasonga vizuri tu. Kaka pambana pambana pambana. Halafu ukishakua na mentality hiyo basi jua hutafanikiwa kweli. Achana naye, yeye siye anayetoa riziki bana. Yeye mwenyewe anamtegemea Mungu tu, atawezaje kuzuia riziki zake kwa laana za kijinga? Kwanz hukuoa. Kwahyo mlikua mnafanya makosa wote, sasa iweje mfanye makosa wote afu uadhibiwe wewe peke yako??!

Achana nae, songa mbele mkuu, yeye hahusiki kabisa hapo acha kupoteza muda
FACT
 
Umejiloga mwenyewe wewe acha kuota ndoto hizo hisia ulizonazo na uchawi wenyewe achana na hizo hisia songa mbele utafanikiwa tu
 
Pole Mkuu,anza kushuhulika na mind set yako kwa kuwaza positive pia kazana ibada kwa Mungu wako nae atakutoa katika hali hiyo...
 
Back
Top Bottom