Nahisi kuna kitu kizito we subiri nione mchezo unapoishia

Sio nikaulize kwetu hakuna mtu mweupe. Sio Kwa baba, sio Kwa mama wote tinted. Labda kwao ila sijamuuliza nataka asishtuke kama namchunguza huyu dogo.
Alama za viganjani huwa zinafanana na MTU yyte mkuu. Amekupiga na kitu kizito. Ni ngumu sana mtoto usifanane nae hata kitu kimoja! Pole sana mkuu, take a heart ila ukimbana atasema
 
Wataalam wa mambo... twende kazi....

Kwani huwa inachukua muda gani mtoto kuwa na rangi wa wazazi wake..? Au kufanana na wazazi wake hata mmoja tu.

Baba mweusi, mama mweusi lakini mtoto katoka mweupee. Ndiyo najua kuna ile rangi nyeupe ya kitoto lakini kama wazazi ni weusi baadae inabadilika na anakuwa mweusi, lakini mbona huyu rangi haibadiliki?

Mtoto ana miezi kumi saizi ila hata dalili za kubadilika rangi hamna, toto bado ni jeupee.

Nahisi kuna uwepo wa miso misondo hapa a.k.a kitu kizito sasa subiri.

Niliapa katika maisha yangu siji kuuwa mtu hata siku moja, kwanza ni zambi ila kumbe inawezekana kiurahisi tu aisee na wala sio zambi kumbe.

Ngoja kwanza muda wote najifanya kama sijashtuka vile nakaa na mtoto nacheza nae kumbe mjuba namkagua chalii na bado sijioni kabisaaaaa.

Tumefanana kitu kimoja tuu, ile mistari ya kwenye viganja... Alama zilivyojichora kwenye kiganja changu cha kushoto nayeye cha kushoto ziko vile vile.... Na za mkono wa kulia wangu zilivyojichora na yeye vile vile ila the rest ni utofauti wa kiwango cha lami....

Kuna time nikiwa nimempakata namcheki dogo weeee kama anakujaa alafu anakataaa..... Napiga funda Moja la safari... Namcheki tena weeee anakuja alafu anakataaaa.

Nahisi kuna siku nitatangazwa kwenye kile kipindi cha matukio ya wiki pale I.T.V kwa kitendo ambachi nimepanga kukifanya. We ngoja, time will tell.
Umeandika kipindi unatungi kichwani.😂

Navuta picha wakati upo naye.

Kausha mkuu mchezo hautaji hasira.
 
Wasiwasi ndo akili endless kumchunguza mpeleke Kwa wazee kuna Jamaa alilea mimba mpaka mtoto kuzaliwa walikuwa mbali siku anaenda kumtembelea mtoto anatambaa Kila akimwangalia akili inakataa akamuuliza mama wa mtoto masikio siyaelewi akajibiwa ya Babu yake mtoto na baba wakawa hawapendani analia akimshika Baba akaanza uchunguzi mpaka akajua mtoto sio wake mtoa mada usiwe na haraka mfatilie pekua vitu vyake utapata pakuanzia
 
Hahahahaha J unatetea hizo Faulo eeh ? Utakutana na RED CARD ktk hizo faulo
Duuuh red card Tena, 🤣🤣🤣 mi bwana nimesoma kwenye makala eti kwenye Kila familia kumi mbili tu ndio Huwa hamna faulo zilizobaki zote mara Mmoja faulo,mara wawili faulo, mara watatu faulo au woteeeee faulooo😄😄
 
Duuuh red card Tena, 🤣🤣🤣 mi bwana nimesoma kwenye makala eti kwenye Kila familia kumi mbili tu ndio Huwa hamna faulo zilizobaki zote mara Mmoja faulo,mara wawili faulo, mara watatu faulo au woteeeee faulooo😄😄
Hahahahahaha...nimekuelewa
 
Wasiwasi wako ndio akili yako. Ukijistukia tu jua kuna walakini. Kapime DNA mtu kazi ukikuta wako ninunulie bia ukikuta sio wako panga mipango ya kupiga chini mke kwani kuoa tena sh. ngapi?
 
Hahahahaha nimecheka kama mazuri hivi ila mi wangu anamiezi 11 na anafanana na watoto wa jamaa alifikia wife wakati anakuja town kwa ajili ya maandalizi ya ndoa but navunga nalo tu nangoja akue kue ukweli utabainika but now naguhumia ndani kwa ndani
 
KITANDA HAKIZAI HARAMU. ALIYEZALIWAA NA MKEO NI MWANAO, MPENDE ,MWANAO ACHA KUMKAGUA KAGUA, MTOTO AKIWA MDOGO SURA HUBADLIKA BADILIKA NA SIO LAZMA AFANANE NA WEWE, ANAWEZA FANANA NA BIBI AKE SHANGAZ WA MKEO AMBAYE NI CHOTARA
Ah wapi hii ni kauli ya kutetea ushetani wa wanawake, mtoto kama siyo damu yako aende kwa baba yake yeye na mama yake. Mwisho wa siku unalea halafu inakuwa kama Diamond Platnumz unaambiwa we mzee Naseeb siyo baba baba ni mzee Nyange. Tushukuru Mungu DNA imegunduliwa. DNA ndiyo mwarobaini, wanawake wanajiuza sana siku hz wanaita kudanga halafu kinga hawapendi.
 
Wataalam wa mambo... twende kazi....

Kwani huwa inachukua muda gani mtoto kuwa na rangi wa wazazi wake..? Au kufanana na wazazi wake hata mmoja tu.

Baba mweusi, mama mweusi lakini mtoto katoka mweupee. Ndiyo najua kuna ile rangi nyeupe ya kitoto lakini kama wazazi ni weusi baadae inabadilika na anakuwa mweusi, lakini mbona huyu rangi haibadiliki?

Mtoto ana miezi kumi saizi ila hata dalili za kubadilika rangi hamna, toto bado ni jeupee.

Nahisi kuna uwepo wa miso misondo hapa a.k.a kitu kizito sasa subiri.

Niliapa katika maisha yangu siji kuuwa mtu hata siku moja, kwanza ni zambi ila kumbe inawezekana kiurahisi tu aisee na wala sio zambi kumbe.

Ngoja kwanza muda wote najifanya kama sijashtuka vile nakaa na mtoto nacheza nae kumbe mjuba namkagua chalii na bado sijioni kabisaaaaa.

Tumefanana kitu kimoja tuu, ile mistari ya kwenye viganja... Alama zilivyojichora kwenye kiganja changu cha kushoto nayeye cha kushoto ziko vile vile.... Na za mkono wa kulia wangu zilivyojichora na yeye vile vile ila the rest ni utofauti wa kiwango cha lami....

Kuna time nikiwa nimempakata namcheki dogo weeee kama anakujaa alafu anakataaa..... Napiga funda Moja la safari... Namcheki tena weeee anakuja alafu anakataaaa.

Nahisi kuna siku nitatangazwa kwenye kile kipindi cha matukio ya wiki pale I.T.V kwa kitendo ambachi nimepanga kukifanya. We ngoja, time will tell.
Usimdhuru yeyote, kama unahisi kudanganywa achana naye, kisasi si chako na kitakupa matatizo zaidi. Pima DNA utashangaa kukuta ni wako!
 
Wataalam wa mambo... twende kazi....

Kwani huwa inachukua muda gani mtoto kuwa na rangi wa wazazi wake..? Au kufanana na wazazi wake hata mmoja tu.

Baba mweusi, mama mweusi lakini mtoto katoka mweupee. Ndiyo najua kuna ile rangi nyeupe ya kitoto lakini kama wazazi ni weusi baadae inabadilika na anakuwa mweusi, lakini mbona huyu rangi haibadiliki?

Mtoto ana miezi kumi saizi ila hata dalili za kubadilika rangi hamna, toto bado ni jeupee.

Nahisi kuna uwepo wa miso misondo hapa a.k.a kitu kizito sasa subiri.

Niliapa katika maisha yangu siji kuuwa mtu hata siku moja, kwanza ni zambi ila kumbe inawezekana kiurahisi tu aisee na wala sio zambi kumbe.

Ngoja kwanza muda wote najifanya kama sijashtuka vile nakaa na mtoto nacheza nae kumbe mjuba namkagua chalii na bado sijioni kabisaaaaa.

Tumefanana kitu kimoja tuu, ile mistari ya kwenye viganja... Alama zilivyojichora kwenye kiganja changu cha kushoto nayeye cha kushoto ziko vile vile.... Na za mkono wa kulia wangu zilivyojichora na yeye vile vile ila the rest ni utofauti wa kiwango cha lami....

Kuna time nikiwa nimempakata namcheki dogo weeee kama anakujaa alafu anakataaa..... Napiga funda Moja la safari... Namcheki tena weeee anakuja alafu anakataaaa.

Nahisi kuna siku nitatangazwa kwenye kile kipindi cha matukio ya wiki pale I.T.V kwa kitendo ambachi nimepanga kukifanya. We ngoja, time will tell.
KITANDA HAKIZAI HARAM
Ila ya kwako ngumu kidogo
 
Wataalam wa mambo... twende kazi....

Kwani huwa inachukua muda gani mtoto kuwa na rangi wa wazazi wake..? Au kufanana na wazazi wake hata mmoja tu.

Baba mweusi, mama mweusi lakini mtoto katoka mweupee. Ndiyo najua kuna ile rangi nyeupe ya kitoto lakini kama wazazi ni weusi baadae inabadilika na anakuwa mweusi, lakini mbona huyu rangi haibadiliki?

Mtoto ana miezi kumi saizi ila hata dalili za kubadilika rangi hamna, toto bado ni jeupee.

Nahisi kuna uwepo wa miso misondo hapa a.k.a kitu kizito sasa subiri.

Niliapa katika maisha yangu siji kuuwa mtu hata siku moja, kwanza ni zambi ila kumbe inawezekana kiurahisi tu aisee na wala sio zambi kumbe.

Ngoja kwanza muda wote najifanya kama sijashtuka vile nakaa na mtoto nacheza nae kumbe mjuba namkagua chalii na bado sijioni kabisaaaaa.

Tumefanana kitu kimoja tuu, ile mistari ya kwenye viganja... Alama zilivyojichora kwenye kiganja changu cha kushoto nayeye cha kushoto ziko vile vile.... Na za mkono wa kulia wangu zilivyojichora na yeye vile vile ila the rest ni utofauti wa kiwango cha lami....

Kuna time nikiwa nimempakata namcheki dogo weeee kama anakujaa alafu anakataaa..... Napiga funda Moja la safari... Namcheki tena weeee anakuja alafu anakataaaa.

Nahisi kuna siku nitatangazwa kwenye kile kipindi cha matukio ya wiki pale I.T.V kwa kitendo ambachi nimepanga kukifanya. We ngoja, time will tell.
Vijana mbona mnapaniki mambi madogo namna hii. Awe wako asiwe wako, as long as unaishi na mama yake na mama yake ni mkeo huyo ni mtoto wako.

Imagine watu wanao single maza ana watoto wawili na wanaishi na wale watoto hadi wanakuwa wakubwa bila kujua kama huyo si baba yao.

Kwa hiyo kinachokuuma ni mkeo wako kuliwa K siyo. Kwani ulimkuta bikra.

Wewe umeletewa mtoto shukuru mungu umepata mtoto. As long as mkeo ana kuheshimu na hakuna baya lolote ambalo amekutendea wewe ishi kwa amani tu. Mambi ya dunia ndivyo yalivyo. Si kila tunaiye muita baba ni biological father wengine wametulewa na wameishi hadi wamekufa wakijio si watoto wao lakini hawahawahi kusema.

Be a man. Achana na mambo ya ujana...eti unaua ili iweje.
 
Back
Top Bottom