Folk Part II
JF-Expert Member
- Jun 27, 2017
- 294
- 332
Ndugu zanguni naumwa sana na spinal cord (hiki ni kinyama kinachofunikwa na uti wa mgongo upande wa nyuma kinaanzia shingoni hadi kiunoni)
Mimi panaponiuma sehemu mkabara na kifua (maumivu kama kidonda kimewekwa pilipili au nachomwa na moto pamoja na misuli kukaza iyo sehemu had mabegani)
Naomba kuuliza kuna mtu au ulimsikia amewahi kuumwa SPINAL TB (TB ya mgongo (ungwe mgongo) au spinal kushambuliwa na fangas?
Naomba msaada wa mawazo.
Nawasilisha.
Mimi panaponiuma sehemu mkabara na kifua (maumivu kama kidonda kimewekwa pilipili au nachomwa na moto pamoja na misuli kukaza iyo sehemu had mabegani)
Naomba kuuliza kuna mtu au ulimsikia amewahi kuumwa SPINAL TB (TB ya mgongo (ungwe mgongo) au spinal kushambuliwa na fangas?
Naomba msaada wa mawazo.
Nawasilisha.