thebogo055
Member
- Jun 22, 2020
- 19
- 176
Ni miezi sita sasa tangu nilipofungua biashara ya kuuza duka la jumla na rejareja.
Kutokana na u-busy wa majukumu nikaamua kumpa ajira msichana pale dukani ili tusaidiane maisha cha ajabu yule mdada baada ya miezi minne ananiambia majirani zake pale dukani wanamchezea michezo ya kishirikina anakuta damu ndani ya duka akifungua asubuhi.
Wakati mwingine anazikuta nje ya mlango na tangu alivyoanza kuniambia mambo hayo nimekuwa sina sauti tena kwake. Vitu vinaisha na hela siion na nikienda nikimuangalia tu usoni nguvu ya kumuuliza nakuwa sina, amekuwa kama yeye ndio boss anapanga kila kitu cha kufanya.
Mara ananiambia hapendi ninavyoenda pale dukani kwasababu kuna wateja wake wakiniona hawaji kununua vitu.
Inafika wakati napanga kwenda kumfukuza kazi lakini nikifika naishiwa nguvu siwezi kumfanya chochote.
Sasa nimeongea na baadhi ya watu wakaribu wameniambia kuwa yule binti sio mtu mzuri niwe nae makini.
Sasa nahisi amenichezea mchezo mbaya na kwenda kwa waganga ili nisiwe na mamlaka kwenye biashara yangu. Wadau this is serious kabisa yani.
Kutokana na u-busy wa majukumu nikaamua kumpa ajira msichana pale dukani ili tusaidiane maisha cha ajabu yule mdada baada ya miezi minne ananiambia majirani zake pale dukani wanamchezea michezo ya kishirikina anakuta damu ndani ya duka akifungua asubuhi.
Wakati mwingine anazikuta nje ya mlango na tangu alivyoanza kuniambia mambo hayo nimekuwa sina sauti tena kwake. Vitu vinaisha na hela siion na nikienda nikimuangalia tu usoni nguvu ya kumuuliza nakuwa sina, amekuwa kama yeye ndio boss anapanga kila kitu cha kufanya.
Mara ananiambia hapendi ninavyoenda pale dukani kwasababu kuna wateja wake wakiniona hawaji kununua vitu.
Inafika wakati napanga kwenda kumfukuza kazi lakini nikifika naishiwa nguvu siwezi kumfanya chochote.
Sasa nimeongea na baadhi ya watu wakaribu wameniambia kuwa yule binti sio mtu mzuri niwe nae makini.
Sasa nahisi amenichezea mchezo mbaya na kwenda kwa waganga ili nisiwe na mamlaka kwenye biashara yangu. Wadau this is serious kabisa yani.