Nahisi kuchanganyikiwa

Njoo kwangu mimi ambaye nimetoka kuachwa juzi tu hapa na mdada niliyekutana naye humu humu jukwaani. Nilimpenda kweli, ila ghafla tu akaniambia eti hanitaki kwa sababu ninamfanyisha mazoezi makali sana, na huu uzee wangu.
 
Itachukua muda. Kwa sasa anza kwa kubadili hiyo ID. Badala ya kujiita Nampenda Milele jiite Nitapenda Tena. Ni hatua ndogo lakini ni mindset shift. Lizingatie hili!
 
Jiulize kwanza what's soo special about him???
Najua sio mara yako ya kwanza wala ya pili kunyanduliwa,,,,,sasa juulize ni vitu gani vinakufanya uwe attached naye sana,,,kama ni caring na affections,,,ama ni pesa zake,,,ama ni the way alivyokuwa ana kukunja,,, whatever
Then anzia hapo,,,,,!!!!ku move on
 
Kwaiyo mimi ndio niishie kuliwa tu mkuu mwisho wa siku na mimi nataka nitengenezee familia yangu
Kwani huyo ukimpa siku za hatari hamuwezi kupata watoto mkajenga familia? Hapo kuwa makini mpime Kama hatakimbia majukumu ya kulea.
Kuna wakati inabidi ukubali tu kuwa katika mahusiano ya mume mmoja wanawake wawili au zaidi.
Wanawake wengi kuliko wanaume. Pia mwanamke hatongozi anatongozwa hivyo hana Uhuru sana wa chaguo zake.
Unafikiri wake wa Daudi, Solomon(sulemani), Yakobo (Yakub), Muhammad (S.A.W) walikuwa wajinga siyo akili kubwa kuliko wewe kukubali kuwa wake wa ndoa ya wake wengi. mume mmoja?
 
Vijana single wanaojielewa wapo kibao ila kila siku kujibanza kwa waume za watu.
Ujinga mtupu
 
Kaa nae kubalianeni ratiba na mke mwenzio isitoshe hakuna mwanaume wa kwako hata huko utakapoenda nae atakuwa na mwanamke wa pembeni na labda wewe ndio utakuwa mke mkubwa. Wanaume huwa tunakuwa na mwanamke zaidi ya mmoja ili kukonga nafasi. Utakuja kunishukuru siku moja
 
Sema komaa wwπŸ˜„πŸ˜„
 
Mwanaume kapewa uwezo wa kumiliki zaid ya ke mbili.....

Kama unaona anauwezo huo.....jiamini chagua ukae upande gani kulia au kushoto...mbele au nyuma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…