Pole sana ndugu,najua wazi kuwa unapitia kipindi kigumu sana katika maisha,yes ni wakati mgumu sana, lakin unapoumia hivi fikiria kuwa ili mapenzi yawe matamu ni lazima wote wawili mpendane au muungano wenu uwe wa hiyari yenu na sio kulazimisha penye no pawe yes, pamoja na maumivu makali tambua maumivu unayopata ni machache au afadhali hayo kuliko yale ambayo ungeyapata huko mbele ya maisha kwa sababu angekuwa anakusaliti kwa siri na ungekuwa nae kama picha tu lakin usingefaid uhusiano wenu kwa angekuwa ana pretend kukupenda kumbe kuna mwingine anayepewa haki na huduma zote kwa moyo mmoja. Maumivu yake yangekuwa ni makubwa kuliko hivi alivyo fanya wazi wazi. Ila ushauri wangu usifanye fasta sana kumtafuta mwingine kama mdala wake kama kukomoana. Jipe muda wa kutosha ,tulia. Kuna faida nyingi kutulia kama vile ni rahisi kmpata atakae kufaa zaidi ya huyo au sawa na huyo. Au anaweza kugundua kuwa maamuzi yake sio sahii akajirudi na maisha yakaendelea ndani ya muda wa wastani, la mwisho ila sio kwa umuhimu kama ni muumini wa dini basi endelea kumwomba mungu sana kwani siku hizi ushirikina unaaminika sana na jamii nahivyo kutumiwa sana na jamii katika maisha kuliko mungu halisi.Nilikua na mdada na mdate kwa miaka kadhaa sasa,ila mwaka juzi Mamake akawa hanitaki kwa kuwa Mimi hohehahe sina kitu,lakini baada ya kuambiwa na watoto[jamaa tu] kuwa Mimi ndio natoka na mwanae.
Waliwahi kuwapeleka kwa Mama wanaume wenye mkwanja akawatolea nje,kipindi nasoma na yeye ni teacher mkoa fulani,mwakajana alipewa na bibi yake dawa ili aachane na Mimi ataitupa,mwakajana mwishoni Mamake bint akawa anaumwa,akamwambia mwanae mbona haolewi,wakati huo ndio nimemaliza college
Nikambembeleza yakaisha,siku moja Mamake binti akampigia simu mfanyibiashara mwenzake amkopeshe pesa,akaenda jamaa mpaka home kwa Mama mkwe wangu akatoa pesa akamkopesha Mama,jamaa akamwambia Mama mtoto yupo hapa,nipe mwanao nimuoe nitakupa zaidi ya hizo.
Jamaa alivyoondoka Mama akawa anamlaumu mwanae kwa kukomaa na hohehahe Mimi na kuwaacha watu wenye pesa,amenisaidia sana mdada mpaka nimemaliza college,mtoto aliridhika na Mimi ila Mama na ndugu hawanitaki kabisa,mwakajana Mamake alilia akiwa mgonjwa na akamwambia afe bila kuona wajukuu sio sawa,
TImbwili likawa kwangu bado kiuchumi sijakaa vizuri hata kidogo,from no where baby wangu akawa akirudi mjini haniambii,akawa anataka nguo zake eti ziko kwangu kitambo hazitumiki,nikawa naingia wasiwasi nikawa namuuliza kama nataka kunitema akawa anakataa,siku moja akaibuka home gafla nilikua na homa kidogo akaja kuchukua nguo zake nilikua na msela sebleni.
Nikaenda nae room nikamuuliza kama kunatatizo akasema hakuna amefuata nguo zake,nikalazimika kumpa shingo upande,simu nikipiga hapokei ontime au hapokei kabisa,texts hajibu au anareply late,akaweka status 'burning the past' sikusema kitu baada ya kuona nadharaulika nikaacha kupiga simu na kutuma texts pia,akaenda Instagram akaweka nyimbo ya christian Bella aliempenda kwa dhati eti amemkimbia.
Sejasema kitu mpaka sasa zaidi ya mwezi na ushekh hatuwasiliani kwa ufupi ,ingawa nilimuomba aniambie mapema kama amepata mtu mwingine,aaah ajabu Baba yangu anampenda sana huyu bint ingawa hajawah kumuona,alikua anampigia simu na kumsalimia na mzazi wangu hajawahi hata siku moja kuwa na mawasiliano na wapenzi wa watoto wake ila kwa huyu bint imekua tofauti
......nahisi sina changu tena.....
Wakuu nimekwama nafanyaje hapa au ungekua wewe ungefanya nini?
serious hii case niko nayo nilikua na malengo nae sana sana huyu mtu.
Nimekuelewa mkuuPole sana ndugu,najua wazi kuwa unapitia kipindi kigumu sana katika maisha,yes ni wakati mgumu sana, lakin unapoumia hivi fikiria kuwa ili mapenzi yawe matamu ni lazima wote wawili mpendane au muungano wenu uwe wa hiyari yenu na sio kulazimisha penye no pawe yes, pamoja na maumivu makali tambua maumivu unayopata ni machache au afadhali hayo kuliko yale ambayo ungeyapata huko mbele ya maisha kwa sababu angekuwa anakusaliti kwa siri na ungekuwa nae kama picha tu lakin usingefaid uhusiano wenu kwa angekuwa ana pretend kukupenda kumbe kuna mwingine anayepewa haki na huduma zote kwa moyo mmoja. Maumivu yake yangekuwa ni makubwa kuliko hivi alivyo fanya wazi wazi. Ila ushauri wangu usifanye fasta sana kumtafuta mwingine kama mdala wake kama kukomoana. Jipe muda wa kutosha ,tulia. Kuna faida nyingi kutulia kama vile ni rahisi kmpata atakae kufaa zaidi ya huyo au sawa na huyo. Au anaweza kugundua kuwa maamuzi yake sio sahii akajirudi na maisha yakaendelea ndani ya muda wa wastani, la mwisho ila sio kwa umuhimu kama ni muumini wa dini basi endelea kumwomba mungu sana kwani siku hizi ushirikina unaaminika sana na jamii nahivyo kutumiwa sana na jamii katika maisha kuliko mungu halisi.
Mkuu du,haya bwanaTafuta pesa
Move onNilikua na mdada na mdate kwa miaka kadhaa sasa,ila mwaka juzi Mamake akawa hanitaki kwa kuwa Mimi hohehahe sina kitu,lakini baada ya kuambiwa na watoto[jamaa tu] kuwa Mimi ndio natoka na mwanae.
Waliwahi kuwapeleka kwa Mama wanaume wenye mkwanja akawatolea nje,kipindi nasoma na yeye ni teacher mkoa fulani,mwakajana alipewa na bibi yake dawa ili aachane na Mimi ataitupa,mwakajana mwishoni Mamake bint akawa anaumwa,akamwambia mwanae mbona haolewi,wakati huo ndio nimemaliza college
Nikambembeleza yakaisha,siku moja Mamake binti akampigia simu mfanyibiashara mwenzake amkopeshe pesa,akaenda jamaa mpaka home kwa Mama mkwe wangu akatoa pesa akamkopesha Mama,jamaa akamwambia Mama mtoto yupo hapa,nipe mwanao nimuoe nitakupa zaidi ya hizo.
Jamaa alivyoondoka Mama akawa anamlaumu mwanae kwa kukomaa na hohehahe Mimi na kuwaacha watu wenye pesa,amenisaidia sana mdada mpaka nimemaliza college,mtoto aliridhika na Mimi ila Mama na ndugu hawanitaki kabisa,mwakajana Mamake alilia akiwa mgonjwa na akamwambia afe bila kuona wajukuu sio sawa,
TImbwili likawa kwangu bado kiuchumi sijakaa vizuri hata kidogo,from no where baby wangu akawa akirudi mjini haniambii,akawa anataka nguo zake eti ziko kwangu kitambo hazitumiki,nikawa naingia wasiwasi nikawa namuuliza kama nataka kunitema akawa anakataa,siku moja akaibuka home gafla nilikua na homa kidogo akaja kuchukua nguo zake nilikua na msela sebleni.
Nikaenda nae room nikamuuliza kama kunatatizo akasema hakuna amefuata nguo zake,nikalazimika kumpa shingo upande,simu nikipiga hapokei ontime au hapokei kabisa,texts hajibu au anareply late,akaweka status 'burning the past' sikusema kitu baada ya kuona nadharaulika nikaacha kupiga simu na kutuma texts pia,akaenda Instagram akaweka nyimbo ya christian Bella aliempenda kwa dhati eti amemkimbia.
Sejasema kitu mpaka sasa zaidi ya mwezi na ushekh hatuwasiliani kwa ufupi ,ingawa nilimuomba aniambie mapema kama amepata mtu mwingine,aaah ajabu Baba yangu anampenda sana huyu bint ingawa hajawah kumuona,alikua anampigia simu na kumsalimia na mzazi wangu hajawahi hata siku moja kuwa na mawasiliano na wapenzi wa watoto wake ila kwa huyu bint imekua tofauti
......nahisi sina changu tena.....
Wakuu nimekwama nafanyaje hapa au ungekua wewe ungefanya nini?
serious hii case niko nayo nilikua na malengo nae sana sana huyu mtu.