kwisha
JF-Expert Member
- Sep 9, 2021
- 1,666
- 4,365
Jamani yaani mwenzenu mimi nahisi kama nimerogwa hivi.
Tangu nipate ajira nimekuwa mtu wa magonjwa tu yaani kila ikifika Jumamosi na Jumapili kunaibuka ugonjwa wa mpya.
Hali hii inanisumbua kidogo, na kila nikifika hospitali hata kabla sijaonana na daktari nahisi napona au ugonjwa unazidi saana.
Nilianza na ugonjwa wa mgongo, nikacheki wakaniambia ni maumivu tu mikapona.
Nikashikwa na ugonjwa wa shambulio la hofu, nikapona.
Nikashikwa na ugonjwa wa tumbo kujaa gesi na chakula kutokusagwa vizuri tumboni nikapona.
Nikashikwa na ugonjwa tena wa shambulio la hofu nimepona.
Sasa hivi nimeshikwa na ugonjwa wa kichwa nasikia maumivu kisogoni. Na kuna muda nahisi kichwa chepesi au kizitoa na ninasikia kizunguzungu sometime.
Sasa sijui magonjwa haya yananitakia nini mimi!
Tangu nipate ajira nimekuwa mtu wa magonjwa tu yaani kila ikifika Jumamosi na Jumapili kunaibuka ugonjwa wa mpya.
Hali hii inanisumbua kidogo, na kila nikifika hospitali hata kabla sijaonana na daktari nahisi napona au ugonjwa unazidi saana.
Nilianza na ugonjwa wa mgongo, nikacheki wakaniambia ni maumivu tu mikapona.
Nikashikwa na ugonjwa wa shambulio la hofu, nikapona.
Nikashikwa na ugonjwa wa tumbo kujaa gesi na chakula kutokusagwa vizuri tumboni nikapona.
Nikashikwa na ugonjwa tena wa shambulio la hofu nimepona.
Sasa hivi nimeshikwa na ugonjwa wa kichwa nasikia maumivu kisogoni. Na kuna muda nahisi kichwa chepesi au kizitoa na ninasikia kizunguzungu sometime.
Sasa sijui magonjwa haya yananitakia nini mimi!