Pamoja na kuzurura koote nikadondokea babati mjini nikakutana na binti age 22, binti fulani Mwenye asili ya kigoma but baba yake kazaliwa hapo babati na mama ake pia,
Aisee binti anazo sifa zote za kua wife material mda mwingi amekulia kwa bibi yake maana wazazi wake wako endasaki (ni mji...
1. Napenda kujituma, yan nikiwa home wikiendi nikikuta mazingira ovyo, nayapangilia vizuri tu
2. Naweza kufanya usafi au kazi kuanzia asubuhi hadi jioni bila kuchoka wakati wenzangu kitu kidogo tu washachoka
3. Napenda kufua, kukunja nguo zangu
4. Kuosha vyombo pia, hata iwe ni saa 8 usiku...
Jamani yaani mwenzenu mimi nahisi kama nimerogwa hivi.
Tangu nipate ajira nimekuwa mtu wa magonjwa tu yaani kila ikifika Jumamosi na Jumapili kunaibuka ugonjwa wa mpya.
Hali hii inanisumbua kidogo, na kila nikifika hospitali hata kabla sijaonana na daktari nahisi napona au ugonjwa unazidi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.