Dola Iddy Wa Chelsea
JF-Expert Member
- Sep 26, 2014
- 2,114
- 1,485
Hunitakii mema we jamaa unataka nife?.PIGA MRUZI AJE KITANDANI ILI UWE NA UHAKIKA KAMA NI YEYE KWELI....
KOBOKO! Hana nouma anapenda kuishi na watu....mpole huyo japo ana sumu Kali....
Mkuu unataka picha ya nani? Koboko?Bila picha ni chai
Simu si unayo licha umeme kukatika kuanzia jioniWadau nimetoka zangu vatcan hapa narudi gheto usingiji auji ,
Na tangu jioni tanesco wamekata umeme,
Wakati najigeuza geuza kitandani kutafuta usingizi ndo nasikia kuna kitu kama kina gonga gonga huku kukiwa na sauti kama tairi inatoa upepo ,
Huyu anaweza kuwa koboko , naombeni ushauri nifanyeje?
Kinagonga gonga huko wapi?Wadau nimetoka zangu vatcan hapa narudi gheto usingiji auji ,
Na tangu jioni tanesco wamekata umeme,
Wakati najigeuza geuza kitandani kutafuta usingizi ndo nasikia kuna kitu kama kina gonga gonga huku kukiwa na sauti kama tairi inatoa upepo ,
Huyu anaweza kuwa koboko , naombeni ushauri nifanyeje?
Geto lako liko kichakani?Wadau nimetoka zangu vatcan hapa narudi gheto usingiji auji ,
Na tangu jioni tanesco wamekata umeme,
Wakati najigeuza geuza kitandani kutafuta usingizi ndo nasikia kuna kitu kama kina gonga gonga huku kukiwa na sauti kama tairi inatoa upepo ,
Huyu anaweza kuwa koboko , naombeni ushauri nifanyeje?
Panda dirishani ulale hapo asubuhi tutajadiliana jinsi ya kumtoa bila kumuua.Wadau nimetoka zangu vatcan hapa narudi gheto usingiji auji ,
Na tangu jioni tanesco wamekata umeme,
Wakati najigeuza geuza kitandani kutafuta usingizi ndo nasikia kuna kitu kama kina gonga gonga huku kukiwa na sauti kama tairi inatoa upepo ,
Huyu anaweza kuwa koboko , naombeni ushauri nifanyeje?
Mwisho utaomba ushauri "unye umesimama, umekaa au umelala"Wadau nimetoka zangu vatcan hapa narudi gheto usingiji auji ,
Na tangu jioni tanesco wamekata umeme,
Wakati najigeuza geuza kitandani kutafuta usingizi ndo nasikia kuna kitu kama kina gonga gonga huku kukiwa na sauti kama tairi inatoa upepo ,
Huyu anaweza kuwa koboko , naombeni ushauri nifanyeje?
Alafu umesema wewe ni mwanaume!!Wadau nimetoka zangu vatcan hapa narudi gheto usingiji auji ,
Na tangu jioni tanesco wamekata umeme,
Wakati najigeuza geuza kitandani kutafuta usingizi ndo nasikia kuna kitu kama kina gonga gonga huku kukiwa na sauti kama tairi inatoa upepo ,
Huyu anaweza kuwa koboko , naombeni ushauri nifanyeje?
Ungenipigia nije kumtoa mimi ni snake catcher.Yaani mimi sijui ningefanyaje