nipekidogo
JF-Expert Member
- Apr 17, 2019
- 1,587
- 3,030
Keshaliwa kitambo sana, hakuna mwanaume aliyetayali kuona mkewa anadharauliwa Haya kidogo, jamaa angashatoa wazo aondolewe ila kwa vile anatafuna anajifanya kuuwa soo!
Sent using Jamii Forums mobile app
Mmenifungua macho, nilikuwa najiuliza dada anatoa wapi jeuri ya kuongea maneno kama hayo
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app