Nahisi ananipenda

Mwambie akupe bei elekezi ili ujue mnamalizanaje
 
Kila la kheri, fanya ile kitu roho inapenda hayanaga muongozo...
 

Huko huwa mnaliwa sadaka tu na mbingu mtaisikia msipo acha dhambi. Kama dini imeshindwa kukusaidia muombe Yesu akupende angalau. Padri haoni huu ujinga nyumba mnasema ya Mungu. Mungu gan anakaa pachafu watu wanawaza uasherati pole. Yesu alikuja kwa ajir yako muite
 
Kuangaliwa s kupendwa, wengne n hulka yao kuwatazama watu uson na kuwapa tabasam.

Kijana acha mihemko, huenda hata anakufananisha. Au n ww unamtazama sana na kutengeneza taswra yakutabasamuliwa kumbe hakuwahi kukutabasamulia, n mawazo yako tu.
 
Mleta uzi hujasema wewe Ni Nani hapo kanisani.
Padre
Muumini
Parish worker?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…