Nahisi ananipenda

Boss la DP World

JF-Expert Member
Joined
Dec 12, 2021
Posts
2,365
Reaction score
8,631
Habari zenu wakuu;

Kuna jambo linanipa tabu kidogo, kuna sister mgeni kanisani kwetu amekuja kuungana na ma sister wengine kuendeleza utume.

Sasa kila nikikutana naye huwa kama ananipenda hivi, muda mwingine tunaangaliana kwa kuibia ibia halafu kama tunafurahi hivi.

Sijui ni nini hiki ila mimi nimempenda kweli na nauhakika anajua au hata kuhisi hivyo, sijui naanzia wapi. Kila nikimkumbuka natamani Jumapili ifike nikutane naye, nifurahi.

Wajuzi wa haya mambo naombeni uzoefu wenu.
 
We ni fala kweli, yaani mtu akikuangalia tayari anakupenda? Huenda anakufananisha na nyani wa nyumbani kwao, na wewe ulivyo zuzu unakenua kama huyo nyani.
 
Toa location ya Kanisa ili kuongeza waumini.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…