Nahisi ananidanganya msaada jaman

Huna mkataba naye, lolote linaweza kutokea na inabidi wewe ukubaliane na matokeo. Angekuwa mke wako hapo ungepiga kelele hata mpaka kwa Baba Paroko, ingekuwa haki yako. Lakini hapo mzee POTEZEA.
 
kaa kando bila kupiga simu wala kum-text kwa mwezi mmoja ukiona amekaa kimya na yeye achana naye

nilishawah mfanyia hvo mkuu nilikaa nusu cku bila kumtafuta jioni aliniomba msamaha nakusema hata rudia
 
Kuna jamaa yangu anaendeshwa na falsafa ya 'akifaulu atasumbua" akmaansha kuwa akienda chuo huwa wanabadilika.
 
Fanya yko tu.......mpaka umehisi kuwa unadanganywa basi 98.9% unadanganywa kweli,maana huwez sema hivyo kama hakuna mabadiliko.
Ushaur wangu kwako,yakupasa uwe bize na shughuli zako......utampata atakayekupenda.Huyo bint ameshaonja mibolo mingine utapata nae shida tu.
 
Huna mkataba naye, lolote linaweza kutokea na inabidi wewe ukubaliane na matokeo. Angekuwa mke wako hapo ungepiga kelele hata mpaka kwa Baba Paroko, ingekuwa haki yako. Lakini hapo mzee POTEZEA.

Haya mkuu nimekuelewa nachanganua mawazo yako
 

Nafanya yangu miss strong.hapo kwenye mibolo nimeshtuka kdogo
 
Kaka sihukumu ila jaribu kuwa na plan B fasta. Huyo binti kuna kila dalili amepata mtu mwingine kwahiyo anakuona wewe gozi gozi.

Unafanya kazi? Fanya kwa juhudi. Kama unasoma soma kwa juhudi ufanikiwe mbayaaa! Utamuona anarudi.
 
Endelea kumsahau kama ulivyo wasahau waleeeeee wa kumbolela!!!!
 
Kaka sihukumu ila jaribu kuwa na plan B fasta. Huyo binti kuna kila dalili amepata mtu mwingine kwahiyo anakuona wewe gozi gozi.

Unafanya kazi? Fanya kwa juhudi. Kama unasoma soma kwa juhudi ufanikiwe mbayaaa! Utamuona anarudi.

Thanx mkuu ngoja nihamishie hasira zangu kwenye maisha wanawake pasua kichwa sana
 

nachelea kusema atakua
amehadaika na mwingine huko
kashakutana na kina mangi ndio maana
kibri imeanza,kama vp jikatae,ya nn kujipa
presure ilhali mmejuana ukubwani!!
 

Mkuu OIL CHAFU haswa ndo huyo huyo mambo yalianza kpnd kile nikawa mvumilivu
 

Huna chako hapo na mbaya zaidi haupo tena akilini mwake. Usihuzunike sana coz ni sehemu ya mapito ktk maisha ambayo kila binadamu hupitia

Tafuta mwingine acha kulalama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…