Nahisi ananidanganya msaada jaman

Nahisi ananidanganya msaada jaman

mtoto wa kibopa

JF-Expert Member
Joined
Apr 20, 2013
Posts
5,336
Reaction score
6,426
habari ndugu zangu wa mmu,mimi ni kijana nina mpenzi wangu wa kike ambaye nampenda sana nimeanza kuwa na mahusiano naye toka yy akiwa form 3 na huku mimi nikiwa namaliza form six(2008).kwa sasa tuna miaka mitano katika mapenz yetu.tatizo ni kwamba sasa amebadilika amekuwa na kiburi na mwepesi wa kulaumu .ameanza tabia hyo mwaka jana alipoingia chuo huko moshi,nikimwambia kitu anasema me na wivu sana sijui simwamini ,siku hizi nikimpigia simu usiku anadai amechoka mara anazima simu usiku hapatikani .nimemwambia abadilike lakin sijaona any change.kiukwel nampenda na nimemzoea sana kila nikijaribu kumwacha nikifikiria nilikotoka naye naumia. msaada wa maoni yenu plz

NB mimi nishamalza chuo na ninafanya kazi na matumiz madogo madogo nampa
Update
Now nimeachana naye rasmi baada ya kuconfirm hanipendi ila hajasema reason za kutonipenda kumbe nilikuwa najpendekeza kwake.
 
^^
Mpe nafasi awe kama alivyo..akirudi kwako ni wako daima.
Ila kweli unatakiwa uwe na moyo wa paka kutunza mchumba chuoni
^^
 
Miaka mitano, umetitahidi mkuu big up, hayo mambo ni kawaida tu wew jikaze upiganie miaka mitano mengine, utajikuta umemaliza nae miaka 50 ya Uhuru
 
habari ndugu zangu wa mmu,mimi ni kijana nina mpenzi wangu wa kike ambaye nampenda sana nimeanza kuwa na mahusiano naye toka yy akiwa form 3 na huku mimi nikiwa namaliza form six(2008).kwa sasa tuna miaka mitano katika mapenz yetu.tatizo ni kwamba sasa amebadilika amekuwa na kiburi na mwepesi wa kulaumu .ameanza tabia hyo mwaka jana alipoingia chuo huko moshi,nikimwambia kitu anasema me na wivu sana sijui simwamini ,siku hizi nikimpigia simu usiku anadai amechoka mara anazima simu usiku hapatikani .nimemwambia abadilike lakin sijaona any change.kiukwel nampenda na nimemzoea sana kila nikijaribu kumwacha nikifikiria nilikotoka naye naumia. msaada wa maoni yenu plz

NB mimi nishamalza chuo na ninafanya kazi na matumiz madogo madogo nampa
Hapo bold ndipo panapoinyemelea roho yako.... kama tatizo kumzoea mfanye mzazi wako umwone milele. Acha mapenzi king'ang'anizi swahiba mtaani wanasema "Ukiona manyoya jua kaliwa" fikiri thamani ya maisha yako na jitafutie mwanamke wa maisha yako. Usipende kuweka roho, akili, moyo na kila chako ktk kapu moja siku ukimwagwa kwa taarifa kwani kimatendo tayari utatuachia kadunia ketu. Ushauri: Chunguza kwa makini sababu anazokupa kama hazina nguvu na ukweli achana nae utafute mwingine... usilazimishe huyo ndiye kwani inawezekana unaepushiwa dhahama la kuingia nae kwenye ndoa...ni hayo tu.
 
^^
Mpe nafasi awe kama alivyo..akirudi kwako ni wako daima.
Ila kweli unatakiwa uwe na moyo wa paka kutunza mchumba chuoni
^^

Himidini uko sahihi,kwa uzoefu wangu mdogo wa haya mambo ni kamuacha hivyo akienda ataenda jumlaw(ni faida kwa wote wawili),
Na akirudi ataukua amerudi jumla.
 
Miaka mitano, umetitahidi mkuu big up, hayo mambo ni kawaida tu wew jikaze upiganie miaka mitano mengine, utajikuta umemaliza nae miaka 50 ya Uhuru

ukiskia mapenzi yaliyootea sugu ndio haya
 
Miaka mitano, umetitahidi mkuu big up, hayo mambo ni kawaida tu wew jikaze upiganie miaka mitano mengine, utajikuta umemaliza nae miaka 50 ya Uhuru

Thanx daud but hyo 3 nilienjoy sana ila hii 2 duu
 
Miaka mitano, umetitahidi mkuu big up, hayo mambo ni kawaida tu wew jikaze upiganie miaka mitano mengine, utajikuta umemaliza nae miaka 50 ya Uhuru

Hahahaaa..duh aisee we ni noma. Nimecheka kwa sauti..
 
jiongezee mkuu hiyo ni dalili tosha kuwa amekuchoka ila kama bado unampenda na unauvumilivu mvumilie, ukiisha uvumilivu utajua cha kufanya. alfu historia ipo kwa ajili ya kukupa mwelekeo wa mbele lakini ukitumia historia kama kigezo cha kukufanya uwe ubadiliki ni mbaya sana mkuu......! changes must be done no matter how costfull it is utateseka sana ukiendelea kung'ang'ania hapo na utajikutaaa unashindwa furahia ujana wako....... kupunguza makali unaweza find another chick ukawa nae kwa ajili ya kupunguza makali.
 
Hapo bold ndipo panapoinyemelea roho yako.... kama tatizo kumzoea mfanye mzazi wako umwone milele. Acha mapenzi king'ang'anizi swahiba mtaani wanasema "Ukiona manyoya jua kaliwa" fikiri thamani ya maisha yako na jitafutie mwanamke wa maisha yako. Usipende kuweka roho, akili, moyo na kila chako ktk kapu moja siku ukimwagwa kwa taarifa kwani kimatendo tayari utatuachia kadunia ketu. Ushauri: Chunguza kwa makini sababu anazokupa kama hazina nguvu na ukweli achana nae utafute mwingine... usilazimishe huyo ndiye kwani inawezekana unaepushiwa dhahama la kuingia nae kwenye ndoa...ni hayo tu.

Thanx mkuu umeongea cha maana sana kama umeniona vile manaake nilimpa kila kitu na kamwe sikupanga kumsaliti nilikuwa mvumilivu anapokuwa chuo n zikinizidia nilikuwa napanda basi namfuata chuo.daah wanawake cjui wapewe nini
 
Himidini uko sahihi,kwa uzoefu wangu mdogo wa haya mambo ni kamuacha hivyo akienda ataenda jumlaw(ni faida kwa wote wawili),
Na akirudi ataukua amerudi jumla.

Nafanyia kaz ushauri wenu thanx
 
Kaa kando bila kupiga simu wala kum-text kwa mwezi mmoja ukiona amekaa kimya na yeye achana naye
 
jiongezee mkuu hiyo ni dalili tosha kuwa amekuchoka ila kama bado unampenda na unauvumilivu mvumilie, ukiisha uvumilivu utajua cha kufanya. alfu historia ipo kwa ajili ya kukupa mwelekeo wa mbele lakini ukitumia historia kama kigezo cha kukufanya uwe ubadiliki ni mbaya sana mkuu......! changes must be done no matter how costfull it is utateseka sana ukiendelea kung'ang'ania hapo na utajikutaaa unashindwa furahia ujana wako....... kupunguza makali unaweza find another chick ukawa nae kwa ajili ya kupunguza makali.

MISS CHAGA umeongea la maana sana dadaangu big up ngoja nifanye maamuz magumu
 
Hakuna kulalama. Tafuta atakayekupa raha haya mapenz ya siku hz yamekua yakiboya sana. Hata miaka 30 hujafiksha unaanza teswa na mapenzi. Come on ma cousin! Piga kazi walet iwe nene kama ya fisadi achana na mapenz kizungumkuti
 
Back
Top Bottom