MBITIYAZA
JF-Expert Member
- Jan 22, 2017
- 14,950
- 26,050
Wiki lilopita narud kutoka kwenye majukumu kama saa 11 jion hivi nakaribia nyumbani kwangu kabisa nikamuona mtu mmoja anaongea na dada wa kazi !basi nikashuka nikamsalimia ,alikua ni bibi wa kama miaka 60 ! alikua akitetemeka kama anaonyesha ana njaa au anaumwa sana !
Ukweli niliogopa kumkaribisha ndani maana ndo kwanza tumehamia hapa sijajua vzr majiran !nikaongea naye hapo nje !Bibi akaniambia anaumwa ametoka hosptali lakini amekosa nauli na anaumwa njaa sana !hili la njaa akawa analirudia kila mara ! dah na mie nilikua nimechoka sana akili na uchovu tu wa siku plus joto ! nikaongea naye walau nijue anaishi wapi lakini chakushangaza anaishi upande mwingine kabisa !ni kama bibi aje tegeta lakini aseme ametoka mwenge hospitali anaishi kiwalani huko !nikamuuliza mbn huku umekuja kwingine !akasema nilipewa lift nikasema wanishushe huku niombe msaada ! nikasema kama unahitaj msaada pia nenda na kwa majirani zangu kawaeleze akawa anasitasita akaenda wakat huo nami nampikia mchakula ale !alirud mikono mitupu akaniambia mwanangu KUTOA NI MOYO !Hapo ndo akili ikaja kwanini nisimsaidie anachotaka !
nilimpa chakula cha haraka haraka tu maana nilianza kuogopa anavyotetemeka ,baada ya muda nikamuuliza unaumwa nini akaniambia yeye ni HIV+ !niliumia kiukweli! akasema ameambukizwa na mwanaye alikua mgonjwa kwahyo yeye ndo alikua akimuuguza !na akasema ana watoto wengine ,mmoja ni trafiki lakini hawana msaada kwake! aliyekuwa msaada amejinyonga wiki 3 zilizopita ! na nikamuuliza mume je ? akanijibu HUYO NILISHAMSAHAU ! sikuelewa anamaanisha nini na nikaogopa kuendelea kumhoji ! bibi aliniambia amekuwa mgonjwa zaid baada ya huyu mwanaye kufariki hana msaada na mtu !lakini na mie nilijiongeza anioneshe vithibitisho kama yeye mwathirika na kweli alinionesha dawa alizoenda kufata na ile kadi yao !
nikampa pesa za siku mbili tatu na aliomba mayai ya kuku wa kienyej nikampa !
baada ya siku 1 kupita nikaenda kwenye sherehe ya kuzaliwa mtoto mmoja wa ndugu yangu ! nikamchukua na dada wa kazi nikaenda naye hyo ilikua saa8 mchana !nikadrop mjini kufanya mahitaj hasa zawad za huyu mtoto (maana ni wajina wangu) nyuma ya kiti niliacha mkoba ndani una laptop na mazagazaga mengine ! basi kumbe nilipoenda dukan kununua zawad alikuja kijana akamwambia dada wa kazi kuwa nimemtuma ampe mkoba nimesahau pesa mle aupeleke dukan ! dada akampa !imefika jion turud zetu hom naangalia mkoba siuon later dada akaniambia si ulimtuma mtu auchukue akuletee? NILIKAA CHINI !
Tukarud usk hom nikiwa nimechanganyikiwa mnoo nalaani vibaya had najihis mkosi tupu !machoz hayakuwa yanatoka lakini moyoni nilikua nalia mbaya ! nikamweleza mume naye akashtuka akaniambia bas tena !
nilishindwa kula wala kulala ! saa 5 nilikua macho nataman nifanye nn sina la kufanya kitanda nakiona kichungu , 30min later mama mzaz akanipigia simu sikuipokea maana nilikua na jazba sana jins dada alivyokubali kirahis kudangnyika !akapiga kwa mume naye nikamwambia usipokee(maana lazima ningepewa niongee naye ) alipiga sana sana kwangu na kwa mume ! baadaye sana nikaamua kupokea maana alinisms kuna shida !
Aliniambia leo umepoteza nini ? nikamwambia laptop tena ina mambo muhimu mama !akasema nimepigiwa simu na mtu anasema ameokota laptop !
kufupisha stry mama alidhan wale ni majambaz !kwa hyo latop kulikua na modem yangu hivyo waliitoa line wakaanza kupigia watu kuniulizia maana kwa mkoba kulikua na pasport zangu !wote wakawa hawanifaham ! wakaja ona jina la MAMA!ndo mamangu kukiri ni mwanaye !jaman niliipata laptop yangu kesho yake ikiwa na kila kitu !(jinsi walipoipata hao watu napo ni kizungumkuti)
jaman leo nimewaza sana nadhan yule BIBI ALIKUA MALAIKA NA ALITUMWA NA MUNGU SIJUI? nimejifunza kutenda wema hata km ni kiduchu !jaman tutende mema kila iitwapo leo !
Ukweli niliogopa kumkaribisha ndani maana ndo kwanza tumehamia hapa sijajua vzr majiran !nikaongea naye hapo nje !Bibi akaniambia anaumwa ametoka hosptali lakini amekosa nauli na anaumwa njaa sana !hili la njaa akawa analirudia kila mara ! dah na mie nilikua nimechoka sana akili na uchovu tu wa siku plus joto ! nikaongea naye walau nijue anaishi wapi lakini chakushangaza anaishi upande mwingine kabisa !ni kama bibi aje tegeta lakini aseme ametoka mwenge hospitali anaishi kiwalani huko !nikamuuliza mbn huku umekuja kwingine !akasema nilipewa lift nikasema wanishushe huku niombe msaada ! nikasema kama unahitaj msaada pia nenda na kwa majirani zangu kawaeleze akawa anasitasita akaenda wakat huo nami nampikia mchakula ale !alirud mikono mitupu akaniambia mwanangu KUTOA NI MOYO !Hapo ndo akili ikaja kwanini nisimsaidie anachotaka !
nilimpa chakula cha haraka haraka tu maana nilianza kuogopa anavyotetemeka ,baada ya muda nikamuuliza unaumwa nini akaniambia yeye ni HIV+ !niliumia kiukweli! akasema ameambukizwa na mwanaye alikua mgonjwa kwahyo yeye ndo alikua akimuuguza !na akasema ana watoto wengine ,mmoja ni trafiki lakini hawana msaada kwake! aliyekuwa msaada amejinyonga wiki 3 zilizopita ! na nikamuuliza mume je ? akanijibu HUYO NILISHAMSAHAU ! sikuelewa anamaanisha nini na nikaogopa kuendelea kumhoji ! bibi aliniambia amekuwa mgonjwa zaid baada ya huyu mwanaye kufariki hana msaada na mtu !lakini na mie nilijiongeza anioneshe vithibitisho kama yeye mwathirika na kweli alinionesha dawa alizoenda kufata na ile kadi yao !
nikampa pesa za siku mbili tatu na aliomba mayai ya kuku wa kienyej nikampa !
baada ya siku 1 kupita nikaenda kwenye sherehe ya kuzaliwa mtoto mmoja wa ndugu yangu ! nikamchukua na dada wa kazi nikaenda naye hyo ilikua saa8 mchana !nikadrop mjini kufanya mahitaj hasa zawad za huyu mtoto (maana ni wajina wangu) nyuma ya kiti niliacha mkoba ndani una laptop na mazagazaga mengine ! basi kumbe nilipoenda dukan kununua zawad alikuja kijana akamwambia dada wa kazi kuwa nimemtuma ampe mkoba nimesahau pesa mle aupeleke dukan ! dada akampa !imefika jion turud zetu hom naangalia mkoba siuon later dada akaniambia si ulimtuma mtu auchukue akuletee? NILIKAA CHINI !
Tukarud usk hom nikiwa nimechanganyikiwa mnoo nalaani vibaya had najihis mkosi tupu !machoz hayakuwa yanatoka lakini moyoni nilikua nalia mbaya ! nikamweleza mume naye akashtuka akaniambia bas tena !
nilishindwa kula wala kulala ! saa 5 nilikua macho nataman nifanye nn sina la kufanya kitanda nakiona kichungu , 30min later mama mzaz akanipigia simu sikuipokea maana nilikua na jazba sana jins dada alivyokubali kirahis kudangnyika !akapiga kwa mume naye nikamwambia usipokee(maana lazima ningepewa niongee naye ) alipiga sana sana kwangu na kwa mume ! baadaye sana nikaamua kupokea maana alinisms kuna shida !
Aliniambia leo umepoteza nini ? nikamwambia laptop tena ina mambo muhimu mama !akasema nimepigiwa simu na mtu anasema ameokota laptop !
kufupisha stry mama alidhan wale ni majambaz !kwa hyo latop kulikua na modem yangu hivyo waliitoa line wakaanza kupigia watu kuniulizia maana kwa mkoba kulikua na pasport zangu !wote wakawa hawanifaham ! wakaja ona jina la MAMA!ndo mamangu kukiri ni mwanaye !jaman niliipata laptop yangu kesho yake ikiwa na kila kitu !(jinsi walipoipata hao watu napo ni kizungumkuti)
jaman leo nimewaza sana nadhan yule BIBI ALIKUA MALAIKA NA ALITUMWA NA MUNGU SIJUI? nimejifunza kutenda wema hata km ni kiduchu !jaman tutende mema kila iitwapo leo !