Nahama voda rasmi....

Nahama voda rasmi....

Glenohumeral joint

JF-Expert Member
Joined
Oct 29, 2017
Posts
2,055
Reaction score
2,911
Bei za vitu zmepanda hadi mabando yamepanda...

Nina laini za ziada mbili ambazo n tigo na airtel...vp huko kuna afadhari kwenye mabando???
IMG_20180926_000230_746.JPG
 
advantage ya voda bundle linajiaccumulate
yani usimaliza ndani ya muda ,unanunua tena kabla
halijaisha, ttcl wao mpaka mda usihe ila wako cheap
sana ukilinganisha na hao mabwege wengine
TIGO sikushauri kukupa mb50 kwa elfu tano
hawaoni aibh yani paap
 
Back
Top Bottom