Glenohumeral joint
JF-Expert Member
- Oct 29, 2017
- 2,055
- 2,911
- Thread starter
- #21
Naomba menu kupata hyo 1GB ya tigo....Tigo mm napata one GB kwa shillings 1,000/= kwa siku saba,, naona bora tigo kuliko voda kwa upande wangu
Naomba menu kupata hyo 1GB ya tigo....Tigo mm napata one GB kwa shillings 1,000/= kwa siku saba,, naona bora tigo kuliko voda kwa upande wangu
Naomba menu kupata hyo 1GB ya tigo....
Bei za vitu zmepanda hadi mabando yamepanda...
Nina laini za ziada mbili ambazo n tigo na airtel...vp huko kuna afadhari kwenye mabando???View attachment 877930
Tumia supa uni *149*03# huko huko voda hutajuta mkuuBei za vitu zmepanda hadi mabando yamepanda...
Nina laini za ziada mbili ambazo n tigo na airtel...vp huko kuna afadhari kwenye mabando???View attachment 877930
Kwa internet Tigo na Airtel ipo too slow mwendo wa Kobe, Voda na Halotel ni speed nzuriTigo mm napata one GB kwa shillings 1,000/= kwa siku saba,, naona bora tigo kuliko voda kwa upande wangu
Kwa internet Tigo na Airtel ipo too slow mwendo wa Kobe, Voda na Halotel ni speed nzuri
Ngoja nijaribuTumia supa uni *149*03# huko huko voda hutajuta mkuu
Hii Ndiyo yakwako tu,Kila laini ina vifurushi tofauti.Tumia supa uni *149*03# huko huko voda hutajuta mkuu
Hata mimi nimemshangaa. Wakati mie nimehamia voda kwa sababu ya hiyo bundle ya 2000/= nilikuwa airtel kablaTsh 2000 1gb kwa siku saba unahama, njoo tigo kwa hela hiyo upate mb 800 24hrs
Hiyo supa uni ipo kwa kila mtu na zote zipo sawa. Yakwako tu ilishatolewa kitamboHii Ndiyo yakwako tu,Kila laini ina vifurushi tofauti.
Hiyo itakuwa ni ya kwako tu mkuuTigo mm napata one GB kwa shillings 1,000/= kwa siku saba,, naona bora tigo kuliko voda kwa upande wangu