Nafuta soko

Nafuta soko

engmtolera

JF-Expert Member
Joined
Oct 21, 2010
Posts
5,149
Reaction score
1,441
Wadau
kwa yeyote anayeelewa wapi naweza kupata soko la NYANYA MAJI na MATANGO anijurishe,iwe Tanzania ama nje ya Tanzania napatikana kwa 0714766823
Asanteni sana
 
Peleka Ilala sokoni mkuu, but remember now ndio msimu wa nyanya na bei huwa chini sana.
 
Peleka Ilala sokoni mkuu, but remember now ndio msimu wa nyanya na bei huwa chini sana.
Asante mkuu,naelewa ndio msimu wenyewe,nachikiona hapa ni kuwa huku mashambani bei inakuwa ndogo sana
 
Back
Top Bottom