Nafuta msichana

Nafuta msichana

ELIFURAHA MAKOMBE

Senior Member
Joined
Dec 22, 2012
Posts
176
Reaction score
22
Habari wanajf mimi n mvulana mwenye umri wa miaka 26, mrefu wa maji ya kunde na ninaelimu ya chuo,natafuta mschana wakuanza nae relatioship awe mweupe,mrefu kiasi,elimu ya form four mpaka chuo,awe mkristo.Mwenye vigezo ani pm au anchek through 0715 406010 kama ni muislam akubali vgezo vya dini yangu,ua welcome to fnd through whatsapp,fb and jf as ussual.ua welcome.
 
Mungu akuongoze kupata msichana mwema ili aje kuwa mke katka maisha yako maana si kazi rahisi kama unavyofikili kumpata mwenza piga magoti omba kwa munbu akujalie upate chaguo lako.
 
Mungu akuongoze kupata msichana mwema ili aje kuwa mke katka maisha yako maana si kazi rahisi kama unavyofikili kumpata mwenza piga magoti omba kwa munbu akujalie upate chaguo lako.

Ni kweli ndugu bcs through GOD nothing is imposible under the sun,so i hv already plan stl 2do so day to day!
 
Endelea kuomba mungu akuongoze maana kwa macho hauwezi kuona wala kupata mkuu naomba usichoke kufanya hivyo kila uchwao maana yeye ndiye jibu.
 
nashauri mnaosaka wenza muanze na utaratibu wa kupeleka matangazo yenu kwenye Radio na TV stations pia.... kila la heri!!
 
Mungu ndiye hujua yaliyo ndani ya moyoni mwa mtu,bila kumshirikisha Mungu hutapata wa ukweli,maana shetan amewapamba wasichana kwa nje lakin ndan ni maadui wanaoweza kukupeleka jehanam,ila kwa uweza wake utajua yote yaliyomo ndan mwa msichana utakaye mpenda ila kwa uweza wake.soma Yohn 16:30,1cor 2:10.
 
pole mi nina vigezo vyote ulivyovitaja tena nina vya ziada ila ndo nshaolewa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom