Natafuta mchumba,awe na umri kuanzia miaka 19-26,awe ameokoka,elimu kuanzia kidato cha4 na kueandelea,kabila si kizuizi awe tayari kufunga ndoa mapema.elimu yangu ni ya chuo.am sam.
Haya Boss mi siandiki chochote Kwaheri
Inabidi nirudi kwa bwana, maana nakosa wachumba hivi hivi.
Na ukisharudi uhakikishe umenawa uso wakona make up za mengi usoni!