Nafurahia sana kuona Ndege kubwa zikitoa moshi mithili ya rocket angani

Hakuna utaalamu kwenye hizo ndege ety kufanya zitoe moshi, ule moshi unatokana na hali ya baridi huko juu inapochanganyikana na joto la kutoka kwenye injini za ndege. Mfano, kipindi cha baridi ukitoa pumzi kwa njia ya mdomo kuna moshi unatoka.

Nakumbuka, miaka ya nyuma kuna jitu zima alinipiga kofi baada ya kutofautiana nae kwenye hizo ishu, jamaa alikuwa anasema ile ni rocket afu mm nikamkatalia nikamuambia ile ni ndege ya kawaida.
Hata na wewe umekosea, ule sio moshi wa baridi yale ni mafuta rubani anayamwaga kupunguza uzito wa ndege hasa ikiwa inajiandaa kutua!!

Cc barafu
 
Hata na wewe umekosea, ule sio moshi wa baridi yale ni mafuta rubani anayamwaga kupunguza uzito wa ndege hasa ikiwa inajiandaa kutua!!

Cc barafu
Kwa umbali ule ndege inajiandaa kutua.? Uliwahi kuona ndege ambayo ipo karibu na ardhi ikitoa huo moshi.?
Bc sawa mkuu
 
Hata na wewe umekosea, ule sio moshi wa baridi yale ni mafuta rubani anayamwaga kupunguza uzito wa ndege hasa ikiwa inajiandaa kutua!!

Cc barafu
Yn rubani anamwaga mafuta ili kupunguza uzito 😂😂😂 Yn kama kwel mm nimekosea ila ww kiboko 😂
 
Mtoa uzi wengine sisi vichwa ngumu embu weka hata taswira ya kuchora tuione hiyo mimoshi.Asante.
 
Back
Top Bottom