mkuu msaidie mtoto bhanaNauhakika kwa hapo kwenu kuna wakati hizo huduma zitasimama.
Sasa kwa tahadhari hamia kwangu, huku hata hiyo kazi ya kunya hutaifanya maana ntakusaidia yawe yanatoka yenyewe tuu popote utakapokua.
hahaha we jamaa umefanya nionekane kichaa maana nimecheka kwa vuruguDah aisee... Kweli wewe ni mtoto wa kiume ila umli haugandi.
Matako yako.
Usichukulie serious mkuuSiku hizi kuna nyuzi za kipuuzi kweli kweli mkuu..na chakusikitisha mods wamelala tu..
Ameshamaliza mtihan wa form fourShule zimefugwa tayari
Abaki facebookAmeshamaliza mtihan wa form four
Nafurahi kuzaliwa mwanaume kwa sababu nyumbani sifanyi kazi yoyote ile kazi zote wananifanyia dada zangu ,kuanzia kupika, kufanya usafi wa nyumba,kuosha vyombo, kunifulia nguo na kunisafishia geto langu na kunitandikia kitanda.
Mpaka chakula wananitengea na nikimaliza kula sitoi vyombo mimi mtoto wa kiume bwana nitatoaje vyombo wakati madada wapo.
Kazi yangu kula, kulala, kujisaidia haja kubwa, kuoga, kusoma na kufanya ngono basi.
Aiseee...... kazi kweli kweli
duhNafurahi kuzaliwa mwanaume kwa sababu nyumbani sifanyi kazi yoyote ile kazi zote wananifanyia dada zangu ,kuanzia kupika, kufanya usafi wa nyumba,kuosha vyombo, kunifulia nguo na kunisafishia geto langu na kunitandikia kitanda.
Mpaka chakula wananitengea na nikimaliza kula sitoi vyombo mimi mtoto wa kiume bwana nitatoaje vyombo wakati madada wapo.
Kazi yangu kula, kulala, kujisaidia haja kubwa, kuoga, kusoma na kufanya ngono basi.