Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 25,558
- 45,878
Hakuna sku utaacha kuingia jf hii n kama maji my friend uspo yanywa kwa sku bhas utayaoga tukama kuna mtu nimemkosea naomba anisamehe
mimi sina ubaya na mtu wala huwa sihesabu mabaya .natoa shukrani zangu nyingi kwa kampani yenu.
shukrani za kipekee kwa mamaafacebook II huyu dada ananipenda kweli .i see a true friendship in her.
shukrani zangu zingine kwa baby wangu najitoa humu ni muda wa kujenga family sasa .i love you japo huniamini ila jua nakupenda sana .
asanteni sana nitapita pita kwa account mpya kuwapa hai
nimekuwa miss kupatwa na penzi
nitakuja na id mpya ila sitakuwa active kiviile mkuuHakuna sku utaacha kuingia jf hii n kama maji my friend uspo yanywa kwa sku bhas utayaoga tu
Anyway ndoa njema na uitunze familia yako vzr mama ndo msmamiz wa familia bora
Kina baba kaz zetu kutafta familia isilale njaa
Kilala her al the best my friend miss natafuta
sina id nyingineTeh na zile account zako nyingine unafunga ?
asante kwa ushauri mkuuHakuna sku utaacha kuingia jf hii n kama maji my friend uspo yanywa kwa sku bhas utayaoga tu
Anyway ndoa njema na uitunze familia yako vzr mama ndo msmamiz wa familia bora
Kina baba kaz zetu kutafta familia isilale njaa
Kilala her al the best my friend miss natafuta
ahahaaa wala huwezi kumjua jamaa mwenyeweYaani pamoja makubaliano yetu umeamua kunitupa kabisa? JF jamani inalipa! Mmechukuana na Mr. Natafuta nini?
ahahaaa mrsmiss nimepata ndo inafata au ?
too late mwaka mzima nilitafuta weee .hukuniona sioNjoo pm jamani, kuna fursa nimekuandalia, muhimu sana!
Kama kuna mtu nimemkosea naomba anisamehe, mimi sina ubaya na mtu wala huwa sihesabu mabaya. Natoa shukrani zangu nyingi kwa kampani yenu.
Shukrani za kipekee kwa mamaafacebook II huyu dada ananipenda kweli. I see a true friendship in her.
Shukrani zangu zingine kwa baby wangu najitoa humu ni muda wa kujenga family sasa. I love you japo huniamini ila jua nakupenda sana.
Asanteni sana nitapita pita kwa account mpya kuwapa hai.
Nimekuwa miss kupatwa na penzi.
ahahaaa kwani ni wewe mpenzi wangu .utanisababishia niachwe ujueBora umefuata ushauri wangu..
Sitaki mke wangu ashinde JF hasa MMU.
Sasa tuyajenge ni muda wa kuijaza dunia.
Love you my wife
yaani huwa nakupenda sana .huwa unaniprotect sana humu thank you friendMiss Natafuta uniambie hiyo id yako mpya mana nimekuzoea na vimbwanga vyako
Mama asanteeee nafrahi kupata rafiki mpya
Et miss kupatwa kwa penzihua unanifrahisha sanaaaa