Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 25,557
- 45,827
- Thread starter
- #21
wenye mali kaka.unataka niharibu kwa sponsor? utanidhamini?Please usifanye hivyo Miss Natafuta tutaimis sana account yako.
wenye mali kaka.unataka niharibu kwa sponsor? utanidhamini?Please usifanye hivyo Miss Natafuta tutaimis sana account yako.
Awww nakupenda zaidi Mama yangu mwaka unaisha vizuri make sjawah kujutia kukufaham japo sijawah kukuona lakini hua unanifanya nicheke wallah I will miss you naomba id Yako mpya unambie ila ntakufaham tu kupitia mwandiko wako mana uko unique Sanayaani huwa nakupenda sana .huwa unaniprotect sana humu thank you friend
Mi sio mpenzi wako mimi ni mume wako.ahahaaa kwani ni wewe mpenzi wangu .utanisababishia niachwe ujue
Hahahaa JF ni kama Ngada ukionja tu mara moja ni ngumu sana kuchomokaHakuna sku utaacha kuingia jf hii n kama maji my friend uspo yanywa kwa sku bhas utayaoga tu
Anyway ndoa njema na uitunze familia yako vzr mama ndo msmamiz wa familia bora
Kina baba kaz zetu kutafta familia isilale njaa
Kilala her al the best my friend miss natafuta
Kweli naona mwaka wako unaisha vema.Awww nakupenda zaidi Mama yangu mwaka unaisha vizuri make sjawah kujutia kukufaham japo sijawah kukuona lakini hua unanifanya nicheke wallah I will miss you naomba id Yako mpya unambie ila ntakufaham tu kupitia mwandiko wako mana uko unique Sana
Awww nashukuru sana kwa kunikubali asanteeeee tupo pamoja na heri ya mwaka mpyaKweli naona mwaka wako unaisha vema.
In short hata mimi nakukubali.
Asante nawe pia heri ya mwaka mpyaa.Awww nashukuru sana kwa kunikubali asanteeeee tupo pamoja na heri ya mwaka mpya
ujiandae na majibu yake maana akili zake anazijua mwenyewe huyoAsante nawe pia heri ya mwaka mpyaa.
Mi ngoja niendelee kumtania dada yangu hapa
Haa haha najua , si ndio maana namfuata nyuma nyuma.ujiandae na majibu yake maana akili zake anazijua mwenyewe huyo
Mimi nampenda na majibu yake ana majibu mujarrab na hajali haishi kunifrahisha Jana alinambia atakuja na id mpya nikahisi ananitania kumbe yupo seriousHaa haha najua , si ndio maana namfuata nyuma nyuma.
Ila i hope anatutania hataondoka.
Mimi nitakuwa wa kwanza kum miss.
Mm ni mmoja wa watu wanaomkubali pia.
Japo najua akiambiwa ataje watu wanaomkera hapa JF mimi naweza nisikose kwenye list
Nawe utapotea jf?Bora umefuata ushauri wangu..
Sitaki mke wangu ashinde JF hasa MMU.
Sasa tuyajenge ni muda wa kuijaza dunia.
Love you my wife
Hapana.Nawe utapotea jf?
Anazipiga teke fursa.Njoo pm jamani, kuna fursa nimekuandalia, muhimu sana!