Nafunga hii account yangu, nimekuwa miss kupatwa na penzi

Miss Natafuta

JF-Expert Member
Sep 16, 2015
25,470
45,614
Kama kuna mtu nimemkosea naomba anisamehe, mimi sina ubaya na mtu wala huwa sihesabu mabaya. Natoa shukrani zangu nyingi kwa kampani yenu.

Shukrani za kipekee kwa mamaafacebook II huyu dada ananipenda kweli. I see a true friendship in her.

Shukrani zangu zingine kwa baby wangu najitoa humu ni muda wa kujenga family sasa. I love you japo huniamini ila jua nakupenda sana.

Asanteni sana nitapita pita kwa account mpya kuwapa hai.

Nimekuwa miss kupatwa na penzi.
 
unaisalti jf kwa wapuuzi wachache .... ama un mult id yote sawa....
 
Yaani pamoja makubaliano yetu umeamua kunitupa kabisa? JF jamani inalipa! Mmechukuana na Mr. Natafuta nini?
 
kama kuna mtu nimemkosea naomba anisamehe
mimi sina ubaya na mtu wala huwa sihesabu mabaya .natoa shukrani zangu nyingi kwa kampani yenu.
shukrani za kipekee kwa mamaafacebook II huyu dada ananipenda kweli .i see a true friendship in her.
shukrani zangu zingine kwa baby wangu najitoa humu ni muda wa kujenga family sasa .i love you japo huniamini ila jua nakupenda sana .
asanteni sana nitapita pita kwa account mpya kuwapa hai
nimekuwa miss kupatwa na penzi
Hakuna sku utaacha kuingia jf hii n kama maji my friend uspo yanywa kwa sku bhas utayaoga tu
Anyway ndoa njema na uitunze familia yako vzr mama ndo msmamiz wa familia bora

Kina baba kaz zetu kutafta familia isilale njaa

Kilala her al the best my friend miss natafuta
 
Hakuna sku utaacha kuingia jf hii n kama maji my friend uspo yanywa kwa sku bhas utayaoga tu
Anyway ndoa njema na uitunze familia yako vzr mama ndo msmamiz wa familia bora

Kina baba kaz zetu kutafta familia isilale njaa

Kilala her al the best my friend miss natafuta
nitakuja na id mpya ila sitakuwa active kiviile mkuu
 
Hakuna sku utaacha kuingia jf hii n kama maji my friend uspo yanywa kwa sku bhas utayaoga tu
Anyway ndoa njema na uitunze familia yako vzr mama ndo msmamiz wa familia bora

Kina baba kaz zetu kutafta familia isilale njaa

Kilala her al the best my friend miss natafuta
asante kwa ushauri mkuu
 
Kama kuna mtu nimemkosea naomba anisamehe, mimi sina ubaya na mtu wala huwa sihesabu mabaya. Natoa shukrani zangu nyingi kwa kampani yenu.

Shukrani za kipekee kwa mamaafacebook II huyu dada ananipenda kweli. I see a true friendship in her.

Shukrani zangu zingine kwa baby wangu najitoa humu ni muda wa kujenga family sasa. I love you japo huniamini ila jua nakupenda sana.

Asanteni sana nitapita pita kwa account mpya kuwapa hai.

Nimekuwa miss kupatwa na penzi.

Please usifanye hivyo Miss Natafuta tutaimis sana account yako.
 

Similar Discussions

7 Reactions
Reply
Back
Top Bottom