natoa mafunzo ya urubani kienyeji kwa yeyote anayehitaji gharama ni nafuu na lugha ni kiswahili
karibuni.
mafunzo ya ardhini kila jioni kuanzia saa 11hahaaa na me nataka mkuu., tupe ratiba na maelekezo mkuu.
Sasa una ndege ya kujifunzia? au tutatumia Play Station?mafunzo ya ardhini kila jioni kuanzia saa 11
mafunzo ya anga,baada ya kuelewa hatua 12 muhimu tunapanga tu baada ya kuleta mchango wako wa mafuta,ukilipia mafuta mengi tunajifunza vitu vingi zaidi
kama ukichangia mafuta mie utanifikiria japo daku
Karibu sana mkuuNikiwa na muda nitakutafuta Mkuu. Nataka nijifunze kwa kujifurahisha tu, sina mpango wa kuwa rubani kwa namna yoyote ile, hivyo 2hrs kwa wiki inatosha sana.
Ni ndege kabisa mkuu imesajiliwa Tanzania 5H-