Nafundisha Gitaa bure!

Nafundisha Gitaa bure!

tumuombe nape ajitolee kufundisha,wanafunzi tunaohitaji kufahamu ni wengi mno
 
Wadau,

Leo nimefanikiwa kununua Gitaa langu la kisasa kwa pesa yangu, nimefurahi sana! Nilianza kupiga Gitaa nikiwa darasa la tano shule ya msingi hadi leo nimeshamaliza chuo, nina familia...bado naendelea kupiga Gitaa! Nilifundisha kwaya nyingi sana jijini Mwanza miaka ya 2006 - 2010.

Natangaza nafasi ya bure kwa anayetaka kujifunza Gitaa. Nilifundisha wengi na leo najivunia kuwa na vijana wangu wanapiga mzigo kwenye makanisa mbalimbali jijini Mwanza na wachache hapa Dar. Kama kwako ni mbali basi utakuwa unanigharamia nauli. NiPM kama uko interested.

Hii ni Hobby nzuri sana kwangu, mke wangu akinuna tu nashika Gitaa langu...baada ya dakika kadhaa mara naona tabasamu kuuuubwa hadi raha! JIFUNZE GITAA.
 
Wadau,

Leo nimefanikiwa kununua Gitaa langu la kisasa kwa pesa yangu, nimefurahi sana! Nilianza kupiga Gitaa nikiwa darasa la tano shule ya msingi hadi leo nimeshamaliza chuo, nina familia...bado naendelea kupiga Gitaa! Nilifundisha kwaya nyingi sana jijini Mwanza miaka ya 2006 - 2010.

Natangaza nafasi ya bure kwa anayetaka kujifunza Gitaa. Nilifundisha wengi na leo najivunia kuwa na vijana wangu wanapiga mzigo kwenye makanisa mbalimbali jijini Mwanza na wachache hapa Dar. Kama kwako ni mbali basi utakuwa unanigharamia nauli. NiPM kama uko interested.

Hii ni Hobby nzuri sana kwangu, mke wangu akinuna tu nashika Gitaa langu...baada ya dakika kadhaa mara naona tabasamu kuuuubwa hadi raha! JIFUNZE GITAA.
Najaribu kk pm inataa mkuu
 
Wadau,

Leo nimefanikiwa kununua Gitaa langu la kisasa kwa pesa yangu, nimefurahi sana! Nilianza kupiga Gitaa nikiwa darasa la tano shule ya msingi hadi leo nimeshamaliza chuo, nina familia...bado naendelea kupiga Gitaa! Nilifundisha kwaya nyingi sana jijini Mwanza miaka ya 2006 - 2010.

Natangaza nafasi ya bure kwa anayetaka kujifunza Gitaa. Nilifundisha wengi na leo najivunia kuwa na vijana wangu wanapiga mzigo kwenye makanisa mbalimbali jijini Mwanza na wachache hapa Dar. Kama kwako ni mbali basi utakuwa unanigharamia nauli. NiPM kama uko interested.

Hii ni Hobby nzuri sana kwangu, mke wangu akinuna tu nashika Gitaa langu...baada ya dakika kadhaa mara naona tabasamu kuuuubwa hadi raha! JIFUNZE GITAA.

Hi. napenda kujifunza gitaa. ninalon. nipo dar. naomba mawasiliano yako nikutafute. au nipigie 0784 821973
 
Samahani mkuu..ivi kwa mfano Una vidole vitatu vya kushikia nyuzi yaani vya mkono kushoto unaweza kujifunza na kulupiga maana Nina rafiki yangu ana vidole vitatu vya kushoto na anatamani alijue hiloo guitar
 
samahani mkuu ivi kwa mfano Una vidole vitatu vya mkono wa kushikia nyuzi....nina maana mkono wa kushoto,je ,Unaweza ukalipiga Hilo guitar maana Nina rafiki yangu kidole kimoja hakipo alafu anatamani kulipiga...
 
samahani mkuu ivi kwa mfano Una vidole vitatu vya mkono wa kushikia nyuzi....nina maana mkono wa kushoto,je ,Unaweza ukalipiga Hilo guitar maana Nina rafiki yangu kidole kimoja hakipo alafu anatamani kulipiga...
Inawezekana mkuu
 
Back
Top Bottom