Nafikiria kutafuta mchepuko, tendo la ndoa na mke wangu limekuwa adimu

Wanasema busara ni kushea maarifa. Ngoja tukupe uzoefu wa haya mambo kijana. Embu tafuta kimwana mzuri anayejua mambo huko nje.

Kabla hujarudi hom hakikisha unaanzia kwa kimwana ukiwa uko we toooooo.mba uwezavyo yani akikisha unakamua kila kitu ndo urudi hom taratibu kwa miluzi na mikono mfukoni. Fanya hivi kwa miezi 2 hadi 3 hivi hlf tuletee mrejesho hapa.
Dah
 
Mkuu usihangaike,tafuta mchepuko ambao uko serious na una nyege zinashabihiana na zako tulia nae, Mke usimuache ila usimsumbue tena kuhusu huo uchi wake anaouona dili,rudi nyumbani umeridhishwa vya kutosha na plan B maisha yaendelee.Hivi hivi ndio watu hujinyonga,kuzembea kazini au kuwafanyia ukatili wenza wao.

Inakera sana jitu umeliheshimisha kuliweka ndani,unalihudumia kila kitu mara nyingine unawasaidia hadi wazazi na ndugu zake halafu linakupa **** kwa mgao.
 
Wanawake huwa wanatikisa kibiriti, mke wangu was like that. Usipomuanza hata week mbili zinaisha bila sex.

For sure I am addicted na sex so Siku tatu kwangu ulikuwa msiba wa nyegezi kuvuka ukomo.

Nikapata ushawishi wa anko shetty nikatafuta mchepuko nilikaa three months respectively sijamgusa Siku alianza kulalamika wewe sio bure utakuwa unamwanamke. Simply tu nilimuuliza kwa nini unahisi hivyo akasema sio kawaida yako nikihesabu tangu last we had sex is almost three months. Nilimwambia sikutaka nikusumbue maana niliona kama unachoka sana kazini hivyo nilikuwa nasubiri Siku ukisikia hamu uniambie ila sina mchepuko.

Hakuamini alilamika sana Siku ile mpaka I felt guilty. Though nilikuwa tayari nimeshakuwa na michepuko kama mitatu hivi hivyo issue ya kulala na nyegezi kwangu ilikuwa historia.

Baadae nikaona isiwe kesi dini inaniruhusu ngoja nivute wa pili. Hapo ndio niliona raha ya ndoa Kwenye suala zima la sex. Nikienda zamu upande wowote hakuna ninayemuanza bali wao ndio wanaanza basi nitakamuliwa mpaka tone la mwisho .

Ila bado ninachepuka . Kwa kesi ya mke wako kinachotokea ni mazoea tu huku akiamini she is one and only kutokana na mkataba wa ndoa yenu na kanisa. Ila kungekuwa na chance kama huku kwetu angebadilika tu.

Kama unaweza na wewe jaribu kukaza zipite hata week mbili usimguse uone kama hajaanza kulia wivu.
Mkuu wake wawili bado una mchepuko tena

Sent from my SM-G930V using JamiiForums mobile app
 
Tulikwambiaga ni suala la muda ukajifanya unampenda sana mkeo, Nyege hazinaga Mbabe chief...Haya sogea kwa mwenyekiti hapo akusainie kadi ya uwanachama wa mabaharia 😺
...😂😂😂....dah!...nimecheka Sana aisee...😂😂
 
Wana jamvi salaam,

Naona huyu shemeji yenu majukumu ya chumbani yamemshinda, kwa wiki tendo mara 1 au 2 au 3 hapo kajitahidi (tena kila wakati mimi ndio nakumbushia, yeye wala), siku nyingine inapita wiki 1 hadi siku kumi.

Ukiishi na mke ndani ndio utaelewa kwanini Waisilamu waliambiwa wake 4 ruksa, hapa ningekuwa na mke wa 2, nisingekuwa naangalia dari juu usiku huu.

Tena hapa hatuna mtoto hivi je akizaliwa katoto si nitapigwa benchi mazima. Nilikuwa nawashangaa wanaume wanaochepuka, ila leo naelewa kuwa sometimes wake zao ni moja ya sababu. Huwa najitahidi kuepuka vishawishi nje ya ndoa ila sasa naona soon yatanishinda.

Real Confession :

Kwa wiki 3 sasa nimemkumbuka my ex girlfriend aisee hadi namuota kila siku , it has been 6 years toka tuachane ila nikiri tulikuwa na « a very good chemistry together on bed »
Mluka mkojo na kukanyaga mavi ndio hii
 
Ongea nae vizuri Mke wako lakin pia tendo la ndoa mara 2-3 kwa wiki sio mbaya KAKA, wewe ulitaka upige kila siku kaka HUCHOKI??
Wataalamu wanasema ili ukabiliane na tezi dume unatakiwa ushuke si chini ya mara 21 kwa mwezi stand to be corrected sasa kwa idadi hiyo Mzee umeliwa na ukweli tuseme sir wanaume ukitaka uchanganyikiwe na kuharibikiwa na kuleta sintofahamu haraka ni kukosa mziki wa bed ndio maana tunaoa kikubwa ni hicho ss ukutane na mtu wa aina hiyo Mzee pole sana
 
Naona unapenda ngono sana? Unafikiri kwanini Mungu hakumpa Adam mke zaidi ya mmoja? Amri kuu ya ndoa ndiyo inaanzia hapa. Hao wanawake wawili ni kuhalalisha uzinzi na usherati
Mwanamke Mmoja Ndo Chanzo Cha Uzinzi Na Uasherati.Mwanamke Katoka Kujifungua Unaweza Vumilia Hizo Siku Mpaka Aje Arocover Ndo Akupee.Hapo Ndo wengi Unakuta Wanaanzisha Mahusiano Na Sabuni au Michepuko.Waislamu Wako Sahihi Sana
 
Kazi za kupika, kufua, kuosha vyombo, usafi wa nyumba, nk anafanya peke yake au mnasaidiana? Kama anazifanya yeye mwenyewe, ni lazima achoke! Hata ukipewa utelezi mara moja kwa wiki shukuru Mungu!
 
Kazi za kupika, kufua, kuosha vyombo, usafi wa nyumba, nk anafanya peke yake au mnasaidiana? Kama anazifanya yeye mwenyewe, ni lazima achoke! Hata ukipewa utelezi mara moja kwa wiki shukuru Mungu!
Kaz siyo tatizo tatizo wanatumia dawa za kuzuia mimba na vyakula navyo nitatizo chipsi tu ugali na mbogamboga hawataki kula
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom