Usher-smith MD
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 9,504
- 12,176
- Thread starter
- #281
DahWanasema busara ni kushea maarifa. Ngoja tukupe uzoefu wa haya mambo kijana. Embu tafuta kimwana mzuri anayejua mambo huko nje.
Kabla hujarudi hom hakikisha unaanzia kwa kimwana ukiwa uko we toooooo.mba uwezavyo yani akikisha unakamua kila kitu ndo urudi hom taratibu kwa miluzi na mikono mfukoni. Fanya hivi kwa miezi 2 hadi 3 hivi hlf tuletee mrejesho hapa.