Rene Jr.
JF-Expert Member
- Jan 31, 2014
- 3,731
- 2,397
Umeona eeh, miungu kibao.Allah ndio mungu gani
Umeona eeh, miungu kibao.Allah ndio mungu gani
Najitahidi kuelewa concept yako mkuu, umeandika vizuri. Unaweza kuendelea kuelezea zaidi?Mkuu umefikiri sawa, ila fikira zako zimekaa katika hali ya kujipendelea sisi binadamu kwa vile tuna uwezo wa kufikiri tofauti na wanyama wenzetu kama ng'ombe, mbuzi nk.
Tujiulize, kama sisi tutakuwa tumeletwa toka sayari nyingine, je hawa wanyama wengine pamoja na viumbe wote ikiwemo mimea ambavyo tunashirikiana uhai, navyo vitakuwa vimeletwa pia?
Ninajua wote tuna imani zetu, ila tukiziweka kando na kuruhusu akili kufikiri tofauti unaweza kuyaona maisha katika "Angle" nyingine na ukajifunza kitu.
Dunia tunayoishi ina umri wa miaka mingi, katika umri huo kuna aina tofauti ya viumbe walioishi hapa(mf.Mijusi wakubwa-Dinosaurs) na kutoweka kabisa kutokana na mabadiliko ya hali katika dunia yenyewe.
Kwa mantiki hiyo, kuishi au kuwepo kwa kiumbe yoyote hapa duniani inategemea na hali ya dunia ukilinganisha na uhitaji wa kiumbe husika. (Mfano. Kama kiumbe kinahitaji baridi dunia ikawa ya joto basi, kiumbe ni lazima kitoweke).
Kwa maana uwepo wetu kwa wakati huu katika hii dunia, unatokana na hali na mazingira ya dunia kwa kipindi hiki yameruhusu.(Mahitaji yetu kama viumbe wa aina tuliyopo yanaendana na hali ya dunia ilivyo kwa sasa).
Asante chief kwa maelezo yako. Though naungana na wewe kwamba kuna mengi sana ambayo inawezekana hatuyajui.inawezekana ikawa hivyo lkn bado haijawa proved!
kuna story nilishawahi kuisoma humu(lkn sikumbuki iko wapi sasa) kwamba binadamu na viumbe vyengine tulipandikizwa mean uhai ulipandikizwa hapa duniani kutoka kwa viumbe wa sayari za mbali!
lkn kama tulipandikizwa kwanini hao waliotupandikiza hatujapata kuwaona au kwanini hawaji kutucheck tunaendeleaje..? ama ndo kusema wao wana high technology so wanatucheck huko huko! but duh! my self i don't know.
mkuu kuhusu sayari zimeshagundulika sayari nyingi kama ni mfatiliaji wa habari bbc mwaka huu walitangaza sayari takriban buku na kitu zimegundulika from another stars! na kuna nyengine hii imegundulika nadhani miezi michache iliyopita wanasema inataka kufanana na earth kimazingira lkn iko far away but wapo kwenye harakati za kupeleka chombo lkn kufika 😱😱 kitachukua uwepo wa kutosha!
pamoja na hayo yote sayari hizi hatuna prove ya uhakika kuwa kuna uhai isipokuwa makadilio tu!
CD empty can't play what do you think about earth and mars..?
Aliyetuleta aje atuchukue
Allah ndio mungu gani
Nani mekwambia hayo, Vipi kama alikudanganya? Au ndo umeambiwa uamini.allah ndio mungu wa ukweli hakuzaliwa wala hakuzaa vyoote vilivyomo mbinguni na duniani na baharini kaviumba yeye huyo ni allah na ndie aliyekuumba wewe akakupa pumzi na mdomo ukaweza kuuliza allah ndio nani
Swala hili nasa nao wana jiuliza " are we alone in universe!? "Dooooh, kwaiyo tunarudi pale pale kwamba yawezekana kabisa kuna mengi ambayo hatuyajui.